Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuna usemi kwamba moja ya maajabu ya hili jiji ni kuwa karibu na ziwa lakini kuna shida ya majiMwanza
Kilimanjaro
Mwanza..vip wewe huko ulipo wameshakufungia mita za LUKU.
Mwanza..vip wewe huko ulipo wameshakufungia mita za LUKU.
Siyo sehemu zote. Wilaya za Moshi na Hai ndipo penye uafadhali, Rombo Tarakea, Mwanga na Same maji ni shida mno. Kiujumla Tanzania maji safi na salama bado ni shida kubwa. Mikoa mingi wanapata maji maeneo machache tena chini ya 50%, lkn serikali inavyojua kujikosha utasikia upatikanaji wa maji ni 75% vijijini na 95% mijini. CCM hoooye!Kilimanjaro
Mwanza maji ?😀😀 Acha vitukomWanza asee kilimanjaro apana
Hata Iringa maji ya uhakika na baadhi ya maeneo. Kuna sehemu binadamu na wanyama wana share maji hatarishi toka mito ya Lukosi au Ruha. Tanzania yote maji bado ni changamoto.Iringa wale IRUWASA wapo Safi sana
Ruvuma
hahaha wananchi tunahitaji mita za tokenAhsanteni tumesikia vilivyo vyenu, tunaenda kuboresha huduma za maji kwenye miji yote nchini ifikapo mwaka 2026 baada ya shughuli pevu ya uchaguzi
Tanga wana maji..