Ni mkoa gani unajitahidi kwenye huduma ya maji ya bomba?

Ni mkoa gani unajitahidi kwenye huduma ya maji ya bomba?

G Tank

JF-Expert Member
Joined
Feb 9, 2023
Posts
2,297
Reaction score
8,760
Ni mkoa upi unajitahidi kwenye upatikanaji wa huduma za maji.

1735583988854.png
 
Kilimanjaro
Siyo sehemu zote. Wilaya za Moshi na Hai ndipo penye uafadhali, Rombo Tarakea, Mwanga na Same maji ni shida mno. Kiujumla Tanzania maji safi na salama bado ni shida kubwa. Mikoa mingi wanapata maji maeneo machache tena chini ya 50%, lkn serikali inavyojua kujikosha utasikia upatikanaji wa maji ni 75% vijijini na 95% mijini. CCM hoooye!
 
Back
Top Bottom