Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Gongo la Mboto
Kilimanjaro imekuwa kinara wa upatikanaji wa maji safi, salama, matamu na mengi tangu miaka ya kabla ya uhuru.
Umechapia. Mwanza jiji kuna maeneo watu hata wiki hawayaoni Maji.Mwanza
Africans! UselessKuna usemi kwamba moja ya maajabu ya hili jiji ni kuwa karibu na ziwa lakini kuna shida ya maji
LUKU- LIPIA UMEME KADIRI UNAVYOTUMIA, hapa mada ni majiMwanza..vip wewe huko ulipo wameshakufungia mita za LUKU.
Iringa municipal Ni Kweli wanajitahidi Sana, japokuwa mara moja moja huwa Yanaweza kukatika hata siku mbili hakuna Maji.Iringa
Kwa mkoa mzima kutokuwa na shida ya Maji Hilo haliwezekani. Unaweza kuta municipal au halmashauri ndiko pekee kwenye Maji ya uhakika, lakini ukienda vijijini ni tabu tupu. Katika mikoa uliyotaja hapo, mikoa minne nina-experience nayo. Vijijini Maji ni shida.Kwa uzoefu wangu wa kutembea mikoa mbalimbali
1.Iringa
2.Njombe
3.Mara
4.Mwanza
5.Mbeya
6.kilimanjaro
Singida
Iringa