proton pump
JF-Expert Member
- Apr 30, 2017
- 6,814
- 10,104
- Thread starter
- #41
ndiye mdudu unayempigia hadi makofiSipendi Mbu, nachukia ile sauti yake, bora anyonye damu kimya kimya
hahaha
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ndiye mdudu unayempigia hadi makofiSipendi Mbu, nachukia ile sauti yake, bora anyonye damu kimya kimya
hahaha
PoleNyoka mwezi wa tatu jua lilikuwa Kali nimerudi kwenye mihangaiko nataka kudeki naona uvivu nikaona nioge Kwanza nimetoka kuoga nasikia kitu kinagusa kavera nikajua mjusi kumbe nyoka tunatazamana nikapiga fimbo akarudi kwenye mfuko nikatoka nje nikaita jirani akaja na gongo kamuua sikulala nilimwaga mafuta ya taa mengi Kila mara namwaga mafuta
noma sanaNaogopa reptilia wote walio na miguu na wasio na miguu
tandunoma sana
phobiaNaplan kwenda hospital kwasababu nahisi nina tatizo la akili. Wadudu wote wataambao nawaogopa kupita kiasi mfano mjusi hasa tule tudogo yaani nikimuona chumbani na akapotea nisimuone tena huwa siwezi kulala kwa namna yoyote ile humo ndani mpaka nihakikishe katoka nje. Naichukia hii hali ila huwa naogopa kuisema kwa watu kwasababu wengi hushangaa mwanaume mzima unagopa wadudu wadogo.
Jumapili kanisani nilikaa karibu na dirisha kulikuwa na kimjusi kile kidogo sikukiona na kikadondoka karibu yangu aisee niliruka watu wakabaki wanashangaa na nilipata fedheha sana maana si kitu cha kawaida mwanaume kuogopa hivyo vitu.
Nahisi nina tatizo mimi kwasababu nikiona hata chura mwili unasisimka vibaya sana na siwezi kupita hapo mpaka aondoke. Niliwahi kukaa kwa muda mrefu njiani nimeganda baada kuona chura wawili wako njiani nao ni kama walijua naogopa wakakaa hapohapo aisee ilikuwa ni fedheha nyingine maana nilisubiri mpaka mtu mwingine apite wale chura wakimbie ndo na mimi nipite
Naichukia sana hii hali na sometimes najipa ujasiri kwamba sitaogopa ila nikiona tu napata uoga uliokithiri sijui nimerogwa hata sielewi
tandu na nge jetandu
sasa huo utakaa nao hadi liniLazima.
Mkuu unaweza kunielezea kidogo hii?phobia
Nyoka dawa yake unafunga Chandarua vizuri haingii unalala fresh tu lakini Kunguni ni kiboko hulali Bro.Kunguni 😂😁
Huu mfano tu umenitisha, kiukweli nyoka ni habari ingine kabisa.Yaani nyoka anaingia ndani na umeme unakatika chwaaaaa...ndio utajua kwanini Lucky Dube aliimba Nobody Can stop reggae...vile utarukaruka humo ndani....
Naunga mkono hoja 🤣😁Nyoka dawa yake unafunga Chandarua vizuri haingii unalala fresh tu lakini Kunguni ni kiboko hulali Bro.
Namuwekea mume wangu mtarajiwa😋sasa huo utakaa nao hadi lini
Walishanihamisha room kwangu nikaenda kulala kwa sister mmoja ana ndogo wake...wote wakanipa kitu usiku huo...nawependa siafuHivi siafu vipi