proton pump
JF-Expert Member
- Apr 30, 2017
- 6,814
- 10,104
- Thread starter
- #81
duu hatari sanaWalishanihamisha room kwangu nikaenda kulala kwa sister mmoja ana ndogo wake...wote wakanipa kitu usiku huo...nawependa siafu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
duu hatari sanaWalishanihamisha room kwangu nikaenda kulala kwa sister mmoja ana ndogo wake...wote wakanipa kitu usiku huo...nawependa siafu
mh nyoka😲😲 kunguni ni mafuta ya taa, omo, na chumvi changanya kwa pamoja nakuambia ukitumia hii mix vizuri utapata na wateja hii dawaNaunga mkono hoja 🤣😁
nyoka kibokoNyoka akiingia mimi basi iyo nyumba sitakaa nikaingia hadi uyo nyoka aonekane hai au amekufa.
hawa kuwadhibiti rahisipanya, mjusi na mende
we me au keNajuta kuandika hapa kuhusu kuogopa mjusi ( vile vidogo) hapa niko sebleni chumbani kuna kimjusi sijui hata nifanye nini. Wakuu hivi ukiua kile kimjusi kuna madhara yoyote? Please unaejua naomba msaada
Ni kuwa na hofu kuhusu kitu fulani na huwa la kisaikolojiaMkuu unaweza kunielezea kidogo hii?
Mkuu ndio maana huwa sipendi kusema hii shida kwa watu maana wengi hushangaa mwanaume kuogopa hivo vitu.we me au ke
Huyu apigwe mpaka afe.Mzee wako woootee huo ,kwamba dushee haizoeleki ,kweli
Harafu huyu anayeambia kichwa tu ndo kitaingia afanyaje
Aunt. Acha utani
😀😀😀Nyoka napenda sana, wanavutia
duu pole katibiweMkuu ndio maana huwa sipendi kusema hii shida kwa watu maana wengi hushangaa mwanaume kuogopa hivo vitu.
kuna yule nyoka anayekaa katikati kwenye miguu ya wanaume unameogopa? Daa! usijali utani dada.Ambao napata kiwewe wakiingia ni tandu au nyoka....
Ninaowachukia hivyo lazima nihustle mpaka kuwamaliza ni mende, panya na nzi
Siogopi ila siwapendi. Wakikaa kwenye kabati kuna harufu flani wanaacha.Mwanaume unaogopa mende??
Zamani nilikuwa naogopa wale mende wanaopaa
Mnabanduana bhana....🙄🙄🙄Lazima akubandue.....ni mdudu hatari pia