The Transporter
JF-Expert Member
- Aug 26, 2016
- 3,580
- 7,203
Uzinzi tu na umalayaWalishanihamisha room kwangu nikaenda kulala kwa sister mmoja ana ndogo wake...wote wakanipa kitu usiku huo...nawependa siafu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Uzinzi tu na umalayaWalishanihamisha room kwangu nikaenda kulala kwa sister mmoja ana ndogo wake...wote wakanipa kitu usiku huo...nawependa siafu
Mwanaume
Nyoka wanaingia mpk kwenye hizo tiles sema wanakua hawana kasi ya kutambaa maana wanateleza na kukosa balanceNyoka huwa sina shaka kutokana najua hawez tambaa kwenye malu mslu(Tiles) ila kuna kitu n'ge aisee aman kwishaa
Huko kukosa balance ndio nafuu yangu kuliko huyo N'ge niliyemtajaNyoka wanaingia mpk kwenye hizo tiles sema wanakua hawana kasi ya kutambaa maana wanateleza na kukosa balance
Daah Umenikumbusha juzi kati niliua buibui mkubwa sana, sawa na kiganja cha mtoto wa miaka kumi.Buibui aisee
Kunguni nawaheshimu 😂 😂 😂Kunguni wakipiga collaboration na Mbu hatari chini kunguni juu mbu
Unachekesha weweNyoka napenda sana, wanavutia
Mwanaume unaogopa mende??Mbu.
Mende.
Panya.
Nge/tandu.
Kwahyo sis niwaduduMwanaume
Una entomophobia brooNaplan kwenda hospital kwasababu nahisi nina tatizo la akili. Wadudu wote wataambao nawaogopa kupita kiasi mfano mjusi hasa tule tudogo yaani nikimuona chumbani na akapotea nisimuone tena huwa siwezi kulala kwa namna yoyote ile humo ndani mpaka nihakikishe katoka nje. Naichukia hii hali ila huwa naogopa kuisema kwa watu kwasababu wengi hushangaa mwanaume mzima unagopa wadudu wadogo.
Jumapili kanisani nilikaa karibu na dirisha kulikuwa na kimjusi kile kidogo sikukiona na kikadondoka karibu yangu aisee niliruka watu wakabaki wanashangaa na nilipata fedheha sana maana si kitu cha kawaida mwanaume kuogopa hivyo vitu.
Nahisi nina tatizo mimi kwasababu nikiona hata chura mwili unasisimka vibaya sana na siwezi kupita hapo mpaka aondoke. Niliwahi kukaa kwa muda mrefu njiani nimeganda baada kuona chura wawili wako njiani nao ni kama walijua naogopa wakakaa hapohapo aisee ilikuwa ni fedheha nyingine maana nilisubiri mpaka mtu mwingine apite wale chura wakimbie ndo na mimi nipite
Naichukia sana hii hali na sometimes najipa ujasiri kwamba sitaogopa ila nikiona tu napata uoga uliokithiri sijui nimerogwa hata sielewi
Bora nilale na nyoka kitanda kimoja Ila si mdudu huyu hata awe Mira 25 nakuwa sina aman ila nyoka hata nimuone mguun kwangu hata hanistui na wenyew wamenijua mi mwana
Umri na nguvu vilikuwa vinaruhusu!Uzinzi tu na umalaya
Mzee wako woootee huo ,kwamba dushee haizoeleki ,kweliMwanaume
Njoo uingie love 😋
Utakosa amani sweetheart...Njoo uingie love 😋
kinyonga huyo unamshika kwa mkonoKinyonga vipi?