Ni mnyama au mdudu gani akiingia chumbani huwa unakosa amani?

Nyoka huwa sina shaka kutokana najua hawez tambaa kwenye malu mslu(Tiles) ila kuna kitu n'ge aisee aman kwishaa
Nyoka wanaingia mpk kwenye hizo tiles sema wanakua hawana kasi ya kutambaa maana wanateleza na kukosa balance
 
Nyoka wanaingia mpk kwenye hizo tiles sema wanakua hawana kasi ya kutambaa maana wanateleza na kukosa balance
Huko kukosa balance ndio nafuu yangu kuliko huyo N'ge niliyemtaja
 
Buibui aisee
Daah Umenikumbusha juzi kati niliua buibui mkubwa sana, sawa na kiganja cha mtoto wa miaka kumi.
Nilikuwa nimekaa kweny sofa mara akapita ukutani, aisee nilishtuka sana, sikulala hadi nilipomuua, maana nilijua nisipo muua leo kuna siku atanipandia wakati nimelala na situmiagi chandarua
 
Mimi hakuna mdudu ninayemuogopa ila wako baadhi ninaowachukia mfano maparata huwa siwapendi kwa kweli wengine ni mapanya,kunguni,mbu na konokono

Ila mijusi nawapenda sana kwa sababu ni harmless na wananisaidia kupunguza wadudu waharibifu!
Ki ujumla hakuna mnyama atakayeingia kwenye territory yangu muharibifu akapona
 
Una entomophobia broo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…