Ni mpenzi mwenye kituko gani uliwahi kumpata? Mimi nilimpata huyu

Hahahaha wewe ni chizi haujaachagga kuota tu
Cc Inna
Hahaaaaa jiran si nilikwambia mtakatifu sijui kashapitia mademu 500 ata sielew kila siku ana wa kumtolea mfano
 
[emoji38] [emoji38] [emoji38]
 
habiba kikojozi.
baada ya kula bata sana alikuja na midola tukaanzia jolly kumalizia kwa macheni kisha tukaenda kuangusha ,gegeda inavyotakiwa,usiku demu anaota anakojoa,choo kipo humo ndani,lakini kakojolea nguo zote zilikuepo chini pale.dah naamka niende home jinz imeloa chapa chapa na inanuka kojo,

ikabidi nimwamshe ndo solution akaniazima pedo.
nafika home mama mwenye nyumba always yuko kibarazani ananiona na kipedo,ananiuliza mwanangu vipileo?nikamwambia mama we acha tu.
 
Thenge thaaanaa ww[emoji23] [emoji23] [emoji23] nmecheka kwa nguvu hlf nko kwa public vehicle
 
Mi nilikutana na mpenzi kila siku ananiambia ana mtu wake ila kanikubalia tu, siku nilipoamua kumuacha aendelee na mtu wake akazimia,alipozinduka akaniambia nikimwacha atameza vidonge na kujiua, kumbe hana cha mtu wake wala nini!!!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
teh
 
Jamaan hahhah
 
[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…