Its Pancho
JF-Expert Member
- Sep 21, 2018
- 15,966
- 26,404
Nadhani ndio huoLipi hilo la ice cube good day au
California love ilimpa Tupac Shakur hela na umaarufu duniani!Huko mamtoni si nitataja kama mia hivi
1. Quuen Latifah- weekend love
2. Mase - looking at me
3. Kriss kross- jump
4. 2 pac - California love
5. Born thug & hu- i dare u
6. Shaba ranks- mr lover (jamaica)
7. Aaliyah- back & ...
8. Brand- i wanna be ...
Rhe list goes on
Ila kama unacheck vids utube kwenye commnts hata madogo wa sasa wanakubali kaka zao walikua wanatoa vyuma sio kama ss hvNadhani ndio huo
Licha ya kuwa technology ilikuwa sio sana that time lakini walitengeneza ma beat yenye ujazo mpaka sasa hazichuji wala haziboi.
Njoo huku sasa kwa kina laizer sasa utaishiwa na nguvu.
50 Cent, the Paragon of Gangsta Rap....Sijaona kama 50 CENTS
Amusement Park
Window Shopper
In Da Club
Many Men (Wish Death)
Candy Shop
Lil Bit
Stunt 101
Disco Inferno
Best Friend
Ayo technology
Baby Buy Me
I Get Money
Wanksta
Pimp
Outta Control
If I Can't
Whats up Gangstar
Straight to the Bank
Pa kuna mwamba anaitwa TALIB KWELI. Ukipata ngoma zake kama
Deliver Us (Hostile Gospel Pt 1) na
Holy Moly
Utaenjoy sana.
Ngoma zao hatari nazozikubali:Coldplay viva la vida na hym for the weekend!
[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2] Mtoto wao ndio maana alikuwa anapewa beat kali.50cents huyu mwamba alikua anapendelewa sana beat nyimbo zake hana beat mbovu
Na ngoma yake alopiga na lil Tjay "mood swings", hii ikiimbwa kwa kiswahili msanii anafungiwa kusikia na kuongeaAfu kuna dogo alikuwa anapita kama 50 anaitwa POP SMOKE (R.I.P) alikuwa njema kinyama.
Ngoma moja nzito ni AIM FOR THE MOON, bonge moja la Ngoma.
Gansta Rap, 50 Cent hakuwa na mpinzani....We kuna ja rule Busta rhymes na luda cris! Hatari xna
Acha kabisa mkuuIla kama unacheck vids utube kwenye commnts hata madogo wa sasa wanakubali kaka zao walikua wanatoa vyuma sio kama ss hv
Hahahahaaa... Mwamba alikuwa bishoo kinoma...NELLY alikuwa komesha ya mabishoo dunia nzima . Jamaa ukisikiliza nyimbo zake ndio utajua hata bongo freva ni jina tu lakini asili ya uimbaji imetokea kwa huyu fala . miaka ya 2000 ilikuwa huwezi kuwa bisho bila kumtambua Nelly.
Let Ride - the gameWasanii wakali us ni wengi sana
Ila mwenye picha ya the game atupie hapa ni mmoja ya wasanii niliokua nawakubali sana
Hahahaha, braza miaka ya 2000's mwanzoni nadhani kwenye HipHop hakukuwa na mtu kama 50 Cent.Move bitch ya luda cris ilikuwa haina mpinzani mkuu! Uliza mtu yeyote na bado kuna busta ile na Mariah Carey