Hakika... Cent alimpoteza sana Ja-RuleAlipotezwa mbaya na 50 huyo
Huu wa huyu Dada.. Naupenda sana...Toni Braxton unbreak my heartView attachment 2315645
Alikua na kijeraha shavuni sasa kushoot nacho video inakua jau kwahio akawa anatupia kiplasta kile bongo kwa mabishoo uchwara ikawa fashion πππNdio najua leo hii mdau ila nelly daaah
Ngoma moja kali sana unameditate vya kutosha
Haswaaa....Ngoma moja kali sana unameditate vya kutosha
Hahahahaaa.. Mkuu, kivipiUnafahamu miziki wewe kasoro ya jarule
Yap ja rule alikiwasha alipoingia 50 na g unit akapoteaGansta Rap, 50 Cent hakuwa na mpinzani....
Ja Rule mwenyewe alisanda.......
Au nakosea Extrovert π
They see me rolling, they hate lile biti ni balaa!Kuna "Ridin" ya mtu mzima Chamilionare... Hahahahaaa...
Sent from my TECNO LA7 using JamiiForums mobile app
Kipindi hicho nyimbo za huyu jamaa ndio tunajifunza kubambia kwenye bash za shule ππππKama hukuwahi kucheza hii ngoma club basi umemiss vingi sana inaitwa get busy sean PaulView attachment 2315639
Hahahahaaa... Mkuu, bifu lao nalikumbuka.. Lakini ukweli ni kwamba 50 ndiye alimpoteza Ja-Rule...We si unakataa jarule hakumpoteza 50 kwenye game unakumbuka lile bifu lao!
Ile ngoma ni balaa...They see me rolling, they hate lile biti ni balaa!