Jobless_Billionaire
JF-Expert Member
- Aug 9, 2022
- 3,106
- 8,101
Wewe kama mimi tu🤣🤣🤣Wengi tu hata yule superstar wenu leonardo sijui.
Au labda kitufe changu cha kucheka kimeharibika.
Joti.Binafsi, kuna huyu wa kujiita Shafii Comedy. In short hakuna anachofurahisha. Ni kama alilazimusha tu kuwepo huko, na watu ambao wameamua kumpiga tafu tu, Hakuna kitu kabisa aisee
View attachment 3188397
Kwako ni yupi unaona kabisa hamna kazi
Vitufe vya kucheka vina fault labdaWewe kama mimi tu🤣🤣🤣
Joti kweli anazingua mkuuJoti.
Alianza na comedy kweli, lakini sasa anaact matusi ambayo kwa comedians wengi wa bongo huita comedy
Namkubali sana nanga aiseeenimwigizaji mzuri ila sio muongeaji mzuri mjomba wake nanga alishasema sio kila muigizaji wa vichekesho anaweza ongea akachekesha au mpangilio wake haujakaa vizuri
Mkuu kwa Leonardo hapo ni wewe kitufe chako.. May be huwa unashindwa ku-capture contents zakeWengi tu hata yule superstar wenu leonardo sijui.
Au labda kitufe changu cha kucheka kimeharibika.
Ningekuwa najua anapoishi ningempa hata ploti alime nyanya chungu tuShafii hamna kitu jamn khaaa