Aiylan wasalan
JF-Expert Member
- Sep 9, 2024
- 730
- 1,478
Ndaro na yule mwenzake mweusi…
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mimi pia...hizi standup comedy naona zimeingiliwa tu.Wengi tu hata yule superstar wenu leonardo sijui.
Au labda kitufe changu cha kucheka kimeharibika.
Karibu PM niwe nakuchekesha mimi.Mimi pia...hizi standup comedy naona zimeingiliwa tu.
Wewe unampenda mchekeshaji gani?Ndaro na yule mwenzake mweusi…
Mkuu hao wako vizuri eti. Au kwa kuwa akili zangu ni kama zao 😂😂Ndaro na yule mwenzake mweusi…
Wengi wanalazimishaMimi pia...hizi standup comedy naona zimeingiliwa tu.
Nakubaliana na wewe...Nanga anajitahidi sana,
Akiendelea hivi anaweza kuchukua mikoba ya marehemu Mzee Majuto japo sio rahisi,
Mzee Mjuto alikua talented sana yule mtu.
Weka hapa clip yake moja unayohisi inachekesha sanaMkuu kwa Leonardo hapo ni wewe kitufe chako.. May be huwa unashindwa ku-capture contents zake
Huyu kuna siku nilisikia wamemkamata kule gongo la mboto yaani walimpiga mpaka wakamvua nguo wakampaka pili piliNingekuwa najua anapoishi ningempa hata ploti alime nyanya chungu tu
Unaweza kukuta hata yeye mwenyewe haelewi anafanya nini.Kuna yule anajiita mtumishi obama, sielewagi hata anafanya nini...
We ng’ombe hunijuiiiiiiiii ntakutoa kishipa 😹😹kuna member aliwahi niambia nisimseme vibaya mtu anayefanya kazi halali inayomuingizia kipato
lakini comedy ni kazi ya sanaa, sisi hadhira tuna haki ya kuchambua na kukosoa
Mkojani sijawahi kumuelewa.
nadhani watu wanamuona sana kwenye mabasi ndo maana anawakeraWe ng’ombe hunijuiiiiiiiii ntakutoa kishipa 😹😹
Kitambo nilipandaga Golden deer basi njia nzima ni mkojani mpk tukamwambia konda aache ufala atutolee upuuzi.!!