secretarybird
JF-Expert Member
- Aug 22, 2024
- 2,998
- 4,948
Mkojani sijui amewaloga wamiliki wa magari...........nadhani watu wanamuona sana kwenye mabasi ndo maana anawakera
Nambaf sana.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkojani sijui amewaloga wamiliki wa magari...........nadhani watu wanamuona sana kwenye mabasi ndo maana anawakera
Mkuu umenichekesha mpaka kimoyo moto nimejisemea huyu kijana nimpeleke stand up. comedyYule Steve mweusi kujua kwamba anachekesha mpaka uambiwe vinginevyo unaweza hisi anatoa hotuba...
Simjui hata mjina wakeYupi mkuu.
Kabisa kabisa. Natural born comedianComedian number Moja kwangu ni Makongoro Nyerere tu
mkojani sihawahi muelewa kabisaBinafsi, kuna huyu wa kujiita Shafii Comedy. In short hakuna anachofurahisha. Ni kama alilazimusha tu kuwepo huko, na watu ambao wameamua kumpiga tafu tu, Hakuna kitu kabisa aisee
View attachment 3188397
Kwako ni yupi unaona kabisa hamna kazi
kuna kile kifupi sijui kinaitwa Anko Nzala nacho chengaBinafsi, kuna huyu wa kujiita Shafii Comedy. In short hakuna anachofurahisha. Ni kama alilazimusha tu kuwepo huko, na watu ambao wameamua kumpiga tafu tu, Hakuna kitu kabisa aisee
View attachment 3188397
Kwako ni yupi unaona kabisa hamna kazi
Hivi yule ni mfupi ama ni mtoto?kuna kile kifupi sijui kinaitwa Anko Nzala nacho chenga
kikubwa kile miaka around miaka 25 nadhanHivi yule ni mfupi ama ni mtoto?
Aisee, mi nilikuwa najua ni katoto...kikubwa kile miaka around miaka 25 nadhan
Wengi tu hata yule superstar wenu leonardo sijui.
Au labda kitufe changu cha kucheka kimeharibika.
Nzala maana yake njaa mkuu, kwahyo sio real talent. Ni njaa tukuna kile kifupi sijui kinaitwa Anko Nzala nacho chenga
AiseeKuna yule anaitwa Ndaro basi tu huruma ya watanzania wamemuacha achekeshe hivo hivo ili mradi asiwe Shoga,jambazi mwizi/kibaka.