Ni msanii gani wa Comedy unaona kabisa hamnaga kazi ila ndo hivyo tu

Ni msanii gani wa Comedy unaona kabisa hamnaga kazi ila ndo hivyo tu

Kuna huyu Eliud nilimuona Arusha juzi kwenye standup comedy ya Churchill ya wakenya aliua vizuri tu ila Eric omondi alikuwa wa Kawahida Sana pale jukwani
Ila yote kwa yote kuchekesha kazi Sana Kuna jamaa wale wa Moshi wapo wawili walipanda duh aibu nikawa Naona Mimi mtazamaji
Wakaanza kuzungmzia wale walikua wanakata mauno 🤣afu kuna wale kinyampo
 
Mimi nachoona wajifunze kupangilia script vizuri na mtiririko ueleweke or else mimi na mgumu sana na stand up comedy za kibongo..huo ndo ukweli.
Aaah SAWA maoni Yako ni mazuri Mimi kama shafii brand naya chukua naenda kuyafanyia KAZI
 
Wewe unakuwa serious sanaaa na maisha ndo maana jaribu ukipata muda angalia hizo comedy
kila ninapojaribu kuangalia, AIBU naona mimi,....waigizaji ili wachekeshe ni mpaka watamke maneno ya kipuuzi,. kama,..kujamba, kupeleka moto, n.k...wavae hovyo na kuwa na unusual facial expressions,...total rubbish 🚮🚮🚮
mkojani,..
clam
tin white
maufundi
steve mweusi
mwakatobe
twins nation
mchina
n.k🚮🚮
 
Back
Top Bottom