Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
📢 Na repair vitufe vibovu kinapona siku hiyo hiyo, bei inategemea ubovu wakee 📢 😂Wengi tu hata yule superstar wenu leonardo sijui.
Au labda kitufe changu cha kucheka kimeharibika.
🤣🤣🤣😅😅😅😅😅
Nimekuona wiii....
Na sasa migomba imeingiaje hapo wii wangu...sijapenta😃
Ng'ombe humjuikuna member aliwahi niambia nisimseme vibaya mtu anayefanya kazi halali inayomuingizia kipato
lakini comedy ni kazi ya sanaa, sisi hadhira tuna haki ya kuchambua na kukosoa
Mkojani sijawahi kumuelewa.
Leonardo hujaamia kumfatilia jamaa anajua kuchekeshaWengi tu hata yule superstar wenu leonardo sijui.
Au labda kitufe changu cha kucheka kimeharibika.
Inawezekana kwa sababu hatujuaniNawaza tu kuna baadhi ya wachekeshaji wanapitia hii fursa kuponda na kujipa promo...humu humuuu tunamalizana 😂😂...
Wakaanza kuzungmzia wale walikua wanakata mauno 🤣afu kuna wale kinyampoKuna huyu Eliud nilimuona Arusha juzi kwenye standup comedy ya Churchill ya wakenya aliua vizuri tu ila Eric omondi alikuwa wa Kawahida Sana pale jukwani
Ila yote kwa yote kuchekesha kazi Sana Kuna jamaa wale wa Moshi wapo wawili walipanda duh aibu nikawa Naona Mimi mtazamaji
Wewe unakuwa serious sanaaa na maisha ndo maana jaribu ukipata muda angalia hizo comedyKuangalia na ku-enjoy sanaa za bongo, unahitaji uwe ume-pararaizi ubongo, otherwise utaishia kutukana tu,....🚮🚮
Lakini videos zake ndo zinaenda hivooShafii hamna kitu jamn khaaa
Mimi nachoona wajifunze kupangilia script vizuri na mtiririko ueleweke or else mimi na mgumu sana na stand up comedy za kibongo..huo ndo ukweli.Wewe unakuwa serious sanaaa na maisha ndo maana jaribu ukipata muda angalia hizo comedy
Alafu hao Sasa ndo wanakubalika kinoma yaaani ijapokuwa Steve mweusi sijawahi muelewa naonaga kama anafosi MamboNdaro na yule mwenzake mweusi…
😂😂😂 Kwa hiyo bora asimulie migomba jukwaani🤣🤣🤣
Akapalilie migomba, wachaga na kuchekesha wapi na wapi km sio uvivu.!!
Aaah SAWA maoni Yako ni mazuri Mimi kama shafii brand naya chukua naenda kuyafanyia KAZIMimi nachoona wajifunze kupangilia script vizuri na mtiririko ueleweke or else mimi na mgumu sana na stand up comedy za kibongo..huo ndo ukweli.
Daaah kifupi kia anko nzala 🤣🤣🤣🤣🤣🤣⛽kuna kile kifupi sijui kinaitwa Anko Nzala nacho chenga
kila ninapojaribu kuangalia, AIBU naona mimi,....waigizaji ili wachekeshe ni mpaka watamke maneno ya kipuuzi,. kama,..kujamba, kupeleka moto, n.k...wavae hovyo na kuwa na unusual facial expressions,...total rubbish 🚮🚮🚮Wewe unakuwa serious sanaaa na maisha ndo maana jaribu ukipata muda angalia hizo comedy