Aiylan wasalan
JF-Expert Member
- Sep 9, 2024
- 730
- 1,478
Mi sio mtu wa stand up commedy….napenda uigzaji wa NengaWewe unampenda mchekeshaji gani?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mi sio mtu wa stand up commedy….napenda uigzaji wa NengaWewe unampenda mchekeshaji gani?
Mkuu mbona umeanzia mbali sana😂😂😂. Hakuna haja ya maelezo mengi. Mie mwenyewe naonaga hamna kitu pale. Badala ya kucheka kwa kile wanachofanya unajikuta unawacheka wao, mtu ANAKULAZIMISHA UMCHEKEkuna member aliwahi niambia nisimseme vibaya mtu anayefanya kazi halali inayomuingizia kipato
lakini comedy ni kazi ya sanaa, sisi hadhira tuna haki ya kuchambua na kukosoa
Mkojani sijawahi kumuelewa.
hawachekeshi mpaka wanachekeshaBadala ya kucheka kwa kile wanachofanya unajikuta unawacheka wao.
Yaani wanazidiwa hadi na MEMES kuchekeshahawachekeshi mpaka wanachekesha
Mimi yule Mkojani huwa naamini mganga wake anajua sana. Sioni sababu ya yeye kuhodhi filamu za kwenye mabasi.kuna member aliwahi niambia nisimseme vibaya mtu anayefanya kazi halali inayomuingizia kipato
lakini comedy ni kazi ya sanaa, sisi hadhira tuna haki ya kuchambua na kukosoa
Mkojani sijawahi kumuelewa.
Eric Omondi uwasilishaji wa kawaida, ila content na idea ni za akili sana. Yule kama ni industry angefaa awe Director na script writer alafu waigizaji wawe wengine.Kwangu Eric Omondi hamna kitu
Mara nyingi hua naona anafeli kwenye punchline na execution kiasi kwamba unakuta anarudia rudia punchline ili watu waone joke ilipoEric Omondi uwasilishaji wa kawaida, ila content na idea ni za akili sana. Yule kama ni indistry angefaa awe Director na script writer alafu waigizaji wawe wengine.
Binafsi, kuna huyu wa kujiita Shafii Comedy. In short hakuna anachofurahisha. Ni kama alilazimusha tu kuwepo huko, na watu ambao wameamua kumpiga tafu tu, Hakuna kitu kabisa aisee
View attachment 3188397
Kwako ni yupi unaona kabisa hamna kaziC
MC mandevu ndiyo mchekeshaji Wangu Bora Kwa SASA baada ya Mzee majuto kufarikiBinafsi, kuna huyu wa kujiita Shafii Comedy. In short hakuna anachofurahisha. Ni kama alilazimusha tu kuwepo huko, na watu ambao wameamua kumpiga tafu tu, Hakuna kitu kabisa aisee
View attachment 3188397
Kwako ni yupi unaona kabisa hamna kazi
Yes Mandevu kiboko. Ndo maana siku hizi haonekani pengine wameshindwana beiNamuelewa Deo na Madevu..wanaujua kuchekesha
Njoo nikutekenye, ukicheka basi Leonardo hajui kuchekesha ila usipocheka basi kitufe chako Cha kucheka kitakufa kimekufa.Wengi tu hata yule superstar wenu leonardo sijui.
Au labda kitufe changu cha kucheka kimeharibika.
Mkuu hebu weka clip yake tusije tukawa tunapuyanga gizaniNingekuwa najua anapoishi ningempa hata ploti alime nyanya chungu tu
TX Dullah siyoNdaro na yule mwenzake mweusi…
Yupi mkuu.Yule mchaga wa kwenye kitimtim uvivu tu wa kulima ndizi kwao Moshi
Lamda(labda)anapungukiwa content.Joti.
Alianza na comedy kweli, lakini sasa anaact matusi ambayo kwa comedians wengi wa bongo huita comedy