Ni msanii gani wa Comedy unaona kabisa hamnaga kazi ila ndo hivyo tu

Ni msanii gani wa Comedy unaona kabisa hamnaga kazi ila ndo hivyo tu

Talking about huyu...kuna mbibi aloruka stage anajiita Ashura kiuno amekuwa featured kwenye hizi skits za huyu, jamani jamani..tusali tupate uzee mwema. Aibu naona mimi maana yule ni bibi yangu kabisa lakini roles anazopewa ni aibu...tusaidie wazazi jamani tusije wakuta mitandaoni huko wakifanya vitu vya aibu.
Ndo kale kanakosema my hens boy 😅😅
 
Vijana Wanaochipukia Wanafeli kitu kimoja, Sanaa zao sio halisia Wanatumia nguvu nyingi sana hadi wanaonekana wanaigiza pia Wanajaribu kutumia Teknolojia ya juu which is good but changamoto hawana watu sahihi wanaoweza kudeliver hiyo Teknolojia kwao So sad
 
Comedy
1. Ni Ngumu Kwa Sababu huwezi rudia contents you must have something new every time tofauti na wasanii wa nyimbo.

2. Lazima. Uwe na management. Content creators. Ili ukifika stage you deliver as per plan. Behind the scenes. Kuna majamaa ambao ni wabunifu. Sana. Most Successful comedians ndo wanafanya hivyo. Hawako peke yao. Content creators/writer lazima awepo.

3. Inteligent..Msanii ambae hana akili nyingi na ubunifuu lazima uboe..lazima.uwe mwanasaikojia kujua watu wanataka nini and you must have a. Back up joke if the first one din't work.and should be delivered instantly.
 
Comedy
1. Ni Ngumu Kwa Sababu huwezi rudia contents you must have something new every time tofauti na wasanii wa nyimbo.

2. Lazima. Uwe na management. Content creators. Ili ukifika stage you deliver as per plan. Behind the scenes. Kuna majamaa ambao ni wabunifu. Sana. Most Successful comedians ndo wanafanya hivyo. Hawako peke yao. Content creators/writer lazima awepo.

3. Inteligent..Msanii ambae hana akili nyingi na ubunifuu lazima uboe..lazima.uwe mwanasaikojia kujua watu wanataka nini and you must have a. Back up joke if the first one din't work.and should be delivered instantly.
Huku kwetu wanaweza kumudu gharama za kuwa na vyote hivyo mkuu? If yes, can it pay them as much? Ndyo maana mtu akishakuwa na smartphone tu au kacamera na kujua kuedit basi anahisi nae anaweza akachekesha.

Kwa wenzetu kuna yule jamaa wanamuita Levin Hart, yule nae hamnaga kazi, overrated
 
Kwanza nawashangaa mnapata wapi muda wa kuyaangalia, mi hata nikikutana nao fb huwa naslide next real,
To be comedian you have to be genius and psychic at the same time, bongo mtu akichekesha kijiweni kwao basi anataka awe comedian kwa wote bila kujuwa mazingira, level ya elimu, hobby za watu zinatofautiana.
You have to be genius to get them all
 
Rayns njoo usemee hapa ni comedian yupi usiyempenda
Nilivyoona title ya uzi nimecheka sana 😂😂😂

Ni msanii gani wa Comedy unaona kabisa hamnaga kazi ila ndo hivyo tu

Kuna msanii mmoja basi tu, nikiangalia video zake huwa nawaza hivi na wengine wanavyoangalia huwa wanamhurumia kama mimi 😂😂😂
 
Nilivyoona title ya uzi nimecheka sana 😂😂😂

Ni msanii gani wa Comedy unaona kabisa hamnaga kazi ila ndo hivyo tu

Kuna msanii mmoja basi tu, nikiangalia video zake huwa nawaza hivi na wengine wanavyoangalia huwa wanamhurumia kama mimi 😂😂😂
Mtaje kaka huenda ni Mimi
 
Back
Top Bottom