pingli-nywee
JF-Expert Member
- Sep 16, 2015
- 11,923
- 13,350
Aaah, Baba Styles! Niliisikia zamani sana nikiwa shuleni ila naikumbuka sana, sijui ni lugha gani huwa anaitumia mwisho mwisho, inafanana sana na kinyarwanda.Poapoa mkuu. Hiyo lugha gongana aliimba Noorah.
Huu sio uzi wa ligi mzee baba! Mbona wakenya mna force ligi kila mahali?? Huu ni wetu sisi watanzania kuwaambia msanii au wasanii wenu tunaowakubali. Hii ndio platform itakayowawezesha kuwapima wasanii wenu. Hii ni kama free questionare ambayo haina gharama yotote!Tatizo mfumo wenu wa ujamaa uliwadumaza kiasi kwamba huwa hamna uwezo wa kufurahia diversity, yaani mkielekeza pua kwa kitu kimoja, nyote mnamwagika humo. Unakuta mnao mtindo mmoja tu wa sanaa, na ili Mkenya atambulike huko lazima aimbe Kibongobongo ndio aeleweke.
Sisi huku tunafurahia kila aina ya mtindo, iwe Bongo au mitindo ya kwetu na ndio maana unaona wasanii wenu wakija wanakubalika, hatujafugwa kwenye zizi moja kama mbuzi.
Hizo nyimbo zinacheza katika vipindi maalumu vyenye lengo la kutambulisha makabila mbalimbali ya nchi, yaani redio station moja inacheza nyimbo na kutangaza mila za makabila yote kwa usawa, sio kila kabila kuwa na radio station yake.Sasa unataka kusema tupige marufuku nyimbo zinazoimbwa kwa lugha za kikabila? Naelewa Tanzania yote mnazungumza kiswahili na nyimbo zote zinaimbwa kwa hii lugha. Je,hizo kabila za kichagga,kisukuma,na spinach zipo kweli ama ni majina tu?
Ninyi wakenya acheni ubishi na ujuaji usiokua na sababu, Saida Karoli 90% ya nyimbo zake anaimba Kiswahili, ila anachanganya kidogo na kihaya, hiyo inakubalika, kama ambavyo wanamziki wengine wanavyochanganya Kiingereza.Mtanzania Saida Karoli alikuwa anaimba nadhani ni kwa kihaya, na nyimbo zake zilisikizwa sana. Nandani kuna nyimbo moja ambayo Diamond ametumia line zake za kihaya. Ile ya chambua kama karanga. Waache unafik.
Hahaha! [emoji1] We jamaa ni mbishi kweli kweli.Ninyi wakenya acheni ubishi na ujuaji usiokua na sababu, Saida Karoli 90% ya nyimbo zake anaimba Kiswahili, ila anachanganya kidogo na kihaya, hiyo inakubalika, kama ambavyo wanamziki wengine wanavyochanganya Kiingereza.
Kwa Tanzania kwa sasa Ukabila sio tatizo, kwa hiyo hata ikitokea mtu akatumia lugha yake mwanzo hadi mwisho huwa haishitui sana, ila hatoruhusiwa kuimba nyimbo zote kwa lugha yake.
Tatizo ni ninyi wakenya ambao ukabila ni tatizo kubwa lakini mnaruhusu hata wagombea wanatumia lugha ya kabila lake katika mikutano ya kampeni za kura, ukifanya hivyo huku Tanzania automatically unafutwa katika orodha ya wagombea.
Umeishiwa points, jioni njemaHahaha! [emoji1] We jamaa ni mbishi kweli kweli.
Points gani sasa, na chochote kile nitakachosema bado utabisha tu? [emoji23] Yataisha lini jombaa? Haya basi, jioni njema. 😎Umeishiwa points, jioni njema
Pingli nywee hivi ile kass TV yenu wanazungumzaga lugha gani?Points gani sasa, na chochote kile nitakachosema bado utabisha tu? [emoji23] Yataisha lini jombaa? Haya basi, jioni njema. 😎
Sasa kwani lengo la JF ni lipi zaidi ya kujibishana kwa hoja?Points gani sasa, na chochote kile nitakachosema bado utabisha tu? [emoji23] Yataisha lini jombaa? Haya basi, jioni njema. 😎
Shida ni hela pia kusema ukweli Tanzania pande ya hela wapo chini sana kuweza kuwahost wasanii wa Kenya lakini inakuwa ni kinyume na hapa Kenya Jinsi wabongo wengi wamenufaika kwa uwepo wa hela kwa wanakenya. As a matter of fact for any Tanzanian Musician to make it ama akubalike duniani lazima aingie Kenya aweze kupitishiwa kwa moto kama vile dhahabu hupitishiwa hadi ikakubalika.
Tatizo mfumo wenu wa ujamaa uliwadumaza kiasi kwamba huwa hamna uwezo wa kufurahia diversity, yaani mkielekeza pua kwa kitu kimoja, nyote mnamwagika humo. Unakuta mnao mtindo mmoja tu wa sanaa, na ili Mkenya atambulike huko lazima aimbe Kibongobongo ndio aeleweke.
Sisi huku tunafurahia kila aina ya mtindo, iwe Bongo au mitindo ya kwetu na ndio maana unaona wasanii wenu wakija wanakubalika, hatujafugwa kwenye zizi moja kama mbuzi.
Vera ni mwanamuziki?
Miziki yao ya kikabila tuSiri ya mafanikio ya mziki kwanza ni lazima kama taifa liwe na mtindo wake wa mziki yaani ID hiyo miziki mingine ya watu ni extra tu kuifanya nasikudandadanda na style za watu,,,,Nashukuru kwa hilo tumefanikiwa natunazidii fanikiwa
TAKE EXAMPLE
South Africa-kwaito
U.s.a-pop,rock, n.k
Indian-wanamziki wao
Nigeria-nao wamebuni ID yao
Tanzania-Bongo flavour
Kenya-?????????????????
Mtasubiri sana
Miziki yao ya kikabila tu
Kama hujui haimaanishi haipo. Tangia enzi za E-Sir mtindo wa mziki wa kikenya, wa kizazi kipya, ulikuwa unaitwa Kapuka, na hadi sasa hivi watu kama Juakali, Nonini, Nameless bado wanatumia mtindo huo. Haufanani na bongo, ni wa kufoka sanasana kwasababu wakenya wanapenda sana hip hop na raga/reggae pia. Unajaribu kueneza chuki kwa sababu ya mziki tu jombaa?Miziki yao ya kikabila tu
Achana nao. Ni wabishi kupitilizaKama hujui haimaanishi haipo. Tangia enzi za E-Sir mtindo wa mziki wa kikenya, wa kizazi kipya, ulikuwa unaitwa Kapuka, na hadi sasa hivi watu kama Juakali, Nonini, Nameless bado wanatumia mtindo huo. Haufanani na bongo, ni wa kufoka sanasana kwasababu wakenya wanapenda sana hip hop na raga/reggae pia. Unajaribu kueneza chuki kwa sababu ya mziki tu jombaa?