Ninyi wakenya acheni ubishi na ujuaji usiokua na sababu, Saida Karoli 90% ya nyimbo zake anaimba Kiswahili, ila anachanganya kidogo na kihaya, hiyo inakubalika, kama ambavyo wanamziki wengine wanavyochanganya Kiingereza.
Kwa Tanzania kwa sasa Ukabila sio tatizo, kwa hiyo hata ikitokea mtu akatumia lugha yake mwanzo hadi mwisho huwa haishitui sana, ila hatoruhusiwa kuimba nyimbo zote kwa lugha yake.
Tatizo ni ninyi wakenya ambao ukabila ni tatizo kubwa lakini mnaruhusu hata wagombea wanatumia lugha ya kabila lake katika mikutano ya kampeni za kura, ukifanya hivyo huku Tanzania automatically unafutwa katika orodha ya wagombea.