Mziki wetu mchanganyiko Mkuu.Siri ya mafanikio ya mziki kwanza ni lazima kama taifa liwe na mtindo wake wa mziki yaani ID hiyo miziki mingine ya watu ni extra tu kuifanya nasikudandadanda na style za watu,,,,Nashukuru kwa hilo tumefanikiwa natunazidii fanikiwa
TAKE EXAMPLE
South Africa-kwaito
U.s.a-pop,rock, n.k
Indian-wanamziki wao
Nigeria-nao wamebuni ID yao
Tanzania-Bongo flavour
Kenya-?????????????????
Mtasubiri sana
Mziki upi huo unaosema mbona hakuna nchi musicians wenu wanaitwa kwenda kupiga show, kama zipo nchi ambazo wasanii wa Kenya wanakubalika, Tafadhali tupatie links za YouTube ili tuone kama kuna watu wanaingia.Mziki wetu mchanganyiko Mkuu.
Weka YouTube inayoonyesha musicians toka Kenya anapiga show na watu wameingia. Kenya kwenye muziki tulieni, hilo sio eneo lenu, mbona sisi katika kukimbia tumetulia hatujifanyi wajuaji?Ukiambiwa utasema ni ukabila. Heri ninyamaze
Sasa mbona tunapowaambia muziki hamjui bado mnaanza kubisha?[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]mnawezaje kukimbia na mnawaza mlo tu? Niliambia mmoja wenu muwakilishe E.A kimziki michezo achieni wakenya. MTU hawezi barikiwa kwa vyote. Vipawa ni tofauti
Wewe si mkenya
Wengine humu MNA ndugu Kenya lakini mnasema wote ni monkeys?
Mnapaswa kukaguliwa ubongo
Naomba unionyeshe YouTube ya Sauti Sol wakipiga show nje ya Kenya tuone idadi ya watu walioingia.Joto la jiwe yuko wapi aone hii?
Akisema kitu usichokipenda unamnyang'anya urai wake, umekua immigration officer?[emoji16] [emoji16] [emoji16]Wewe si mkenya
Aliyewaita Monkey ni mchina, sisi tunarudia tu kile alichokisema, hupaswi kutulaumu katika hilo.Wengine humu MNA ndugu Kenya lakini mnasema wote ni monkeys?
Mnapaswa kukaguliwa ubongo
Wanakuja kina koffie olomide hapa na wanajaza show,kubali tu wakenya hamjui kuimba,mbona sie tunakubali kwenye riadha mko juu,acheni roho tupeni sifa zetu kwenye medani ya muzikiTatizo mfumo wenu wa ujamaa uliwadumaza kiasi kwamba huwa hamna uwezo wa kufurahia diversity, yaani mkielekeza pua kwa kitu kimoja, nyote mnamwagika humo. Unakuta mnao mtindo mmoja tu wa sanaa, na ili Mkenya atambulike huko lazima aimbe Kibongobongo ndio aeleweke.
Sisi huku tunafurahia kila aina ya mtindo, iwe Bongo au mitindo ya kwetu na ndio maana unaona wasanii wenu wakija wanakubalika, hatujafugwa kwenye zizi moja kama mbuzi.
Yeye amesema anadhani Sauti Sol wakija Tanzania watajaza watu, Mimi maoni yangu hata wakipiga show bure hawawezi kupata watu, hakuna hata wimbo mmoja wa Sauti Sol ambao umeingi katika chat yoyote ya top ten huku Bongo, sasa kama muziki wao haushiki chat yoyote, ni kitu gani kitawafanya watanzania waende kuwaona?.Uliza mwenye nime-quote.
Zile Mimi naweza zungumzia ni za injili ila ulisema ni ukabila. Very poor mindset
Too much know, endeleeni na ujuaji wenu na mtazidi kubaguana na ukabila hautakwisha kamwe.Repetition kila mahala. Huchoki kushinda ukirudia jambo moja? Ukabila upo hata huko kwenu.mbona kuna makabila tofauti?
Mziki wetu mchanganyiko Mkuu.