Ni msanii gani wa muziki Bongo ambaye tangu uanze kumsikia hujawahi muelewa kabisa?

Ni msanii gani wa muziki Bongo ambaye tangu uanze kumsikia hujawahi muelewa kabisa?

Tatizo ni moja:

Watanzania wengi hawana background ya kuujua utamu wa MZIKI pia hawapendi kusikiliza mziki wa kale. Pia hawapendi kufanya utafiti...

Unavyosema ZUCHU ni Msanii Bora wa Kike Tangia TZ ianze unamaanisha nini exactly..

Nakupa ASSIGNMENT mtafute Msanii anaitwa Bi Shakila.. msikilize huyo Mwanamama......... nyimbo zake bado zinaishi mpk leo.
Bi. Shakila alitisha enzi zake ila Zuchu ni hatari sana
 
😃😃😃😃😃😃😃Ila wasanii wa zamani kila mtu alikuwa na staili yake ya kipekee.
Kuna Crazy Gk,D knob,Kali P na yule mwingine jina nimemsahau aliimba nyimbo ya Nampenda bibi kikongwe hawa jamaa ilikuwa nikisikiliza nyimbo zao nilikuwa nacheka sana hadi nikawa addicted nazo bila ya kutarajia
Hii comment yangu nitakuwa sijaitendea haki bila kumuongezea marehemu Mr Ebo mmasai alikuwa na burudani sana nyimbo zake yaani alikuwa anaelimisha pamoja na kuchekesha/comedy.
Moja ya mistari yake ambayo nilikuwa nikiisikia navunja mbavu kwa kucheka ni hii hapa;
1. CHORUS
MOTIKA RECORDS
Acha kubishabisha kitu usichokijua eeh aah unalimbikiza ujinga eeh,uliza fafanua kama una swali uliza eeh aah,Mnatupakazia sana.
VERSE YA 1
Bado hujaona mbuzi anasukutua?Bado
Kunguru inanuka mdomo?Bado
Nyau imesukwa mabutu?Bado,eeh?bado
Nyoka imevaa hereni?Bado,eeh hata hii?Bado
Ajali ajali?Bado(hapa kwenye video yake ikaonesha ajali ya binadamu kwa binadamu kugongana😄)
Na panya mwenye TB?Bado,hata hiyo?bado
Ng'ombe jike anarembua?Bado,wewe inakaa wapi?Bado
Self container ndani ni choo cha shimo?Bado,unatokea nchi gani?Bado
Na mkate imepakwa colgate?Bado,wewe ni kijana mudogo eeh?Bado
Na kaburi za kupangisha?Bado,nisamilie-bado.
Na kondoo mwenye mwanya?Bado,hata hiyo hujaona?Bado
CHORUS
VERSE YA 2
"Mnanisema vibaya kisa kusimamisha bus,na mahali ni porini ni bora nikawa wazi,bus ya kwanza kusimamisha kanipita kabisa,nikaona nikae rabarabani kabisa,gari ya pili ikaja ikafunga breki kali,dereva na abiria wote wakawa wakali.
Masai tungekugonga haya unakwenda wapi?
Masai:Aah mimi nilitaka kujua tu ni saa ngapi.
Wakaanza kunicheka wengine wamekarisika".

Na kuna mudogo wangu amevunjika muguu,tulikuwa tuko wote tunakwenda kwa sikukuu,tuko kwenye lori tunaimba tunaruka juu,eeh yule rafiki yangu si kapandisha mori,karuka juu zaidi kasahau yupo kwenye lori,alivyorudi chini kajikuta kwenye lami,ikawa bonge la soo na noma kilo kumi.
Bado hujaona samaki imepakwa wanja?Bado,nasema?Bado
Kinyonga ameshikwa na kwikwi?Bado
Mbwa anakohoa kapaliwa na kwikwi?Bado,alikuwa anabweka umbea-Bado
Kupewa makande kwenye ndege?Bado,hujasafiri na ndege eeh?Bado
Bus imefungwa injini ya pikipiki?Bado,Tanga na Arusha siku nne-Bado,wewe kila kitu ni bado?Bado,eeh?Bado
Hata kuzaliwa?Bado
CHORUS
VERSE YA 3
Hata mama ntilie muzungu bado hujaona?
Eeh Samahan babe sasa hivi tumemaliza chai,sasa hivi tumebakisha supu ya mkia na chapati,karibu sana(In European accent)
CHORUS
KIBWAGIZO
Na ndugu zangu wasambaa kwa nini majina yenu yote yanaanzia na She she she? Shehulosa,Shehasi,Shehemweri,Shelukosi,angalieni hata msije mkasema shetani ndugu yenu.
😄😄😄😄😄😄😄😄😄😄😄😄😄😄😄😄😄😄😄Ilikuwa burudani sana yaani nilitaka kuandika mstari mmoja tu nikajikuta nimeandika nyimbo nzima kwa burudani iliyopo kwenye hii nyimbo.
Watoto waliozaliwa 2000 wamezikosa burudani hizi




😃😃😃😃😃😃😃Ila wasanii wa zamani kila mtu alikuwa na staili yake ya kipekee.
Kuna Crazy Gk,D knob,Kali P na yule mwingine jina nimemsahau aliimba nyimbo ya Nampenda bibi kikongwe hawa jamaa ilikuwa nikisikiliza nyimbo zao nilikuwa nacheka sana hadi nikawa addicted nazo bila ya kutarajia
 

Attachments

  • Screenshot_20240701_172338_YouTube~2.jpg
    Screenshot_20240701_172338_YouTube~2.jpg
    98.5 KB · Views: 4
  • Screenshot_20240701_172707_YouTube~2.jpg
    Screenshot_20240701_172707_YouTube~2.jpg
    61.6 KB · Views: 4
  • Screenshot_20240701_173237_YouTube~2.jpg
    Screenshot_20240701_173237_YouTube~2.jpg
    86.2 KB · Views: 4
  • Screenshot_20240701_173923_YouTube~2.jpg
    Screenshot_20240701_173923_YouTube~2.jpg
    76.8 KB · Views: 4
Hii comment yangu nitakuwa sijaitendea haki bila kumuongezea marehemu Mr Ebo mmasai alikuwa na burudani sana nyimbo zake yaani alikuwa anaelimisha pamoja na kuchekesha/comedy.
Moja ya mistari yake ambayo nilikuwa nikiisikia navunja mbavu kwa kucheka ni hii hapa;
1. CHORUS
MOTIKA RECORDS
Acha kubishabisha kitu usichokijua eeh aah unalimbikiza ujinga eeh,uliza fafanua kama una swali uliza eeh aah,Mnatupakazia sana.
VERSE YA 1
Bado hujaona mbuzi anasukutua?Bado
Kunguru inanuka mdomo?Bado
Nyau imesukwa mabutu?Bado,eeh?bado
Nyoka imevaa hereni?Bado,eeh hata hii?Bado
Ajali ajali?Bado(hapa kwenye video yake ikaonesha ajali ya binadamu kwa binadamu kugongana[emoji1])
Na panya mwenye TB?Bado,hata hiyo?bado
Ng'ombe jike anarembua?Bado,wewe inakaa wapi?Bado
Self container ndani ni choo cha shimo?Bado,unatokea nchi gani?Bado
Na mkate imepakwa colgate?Bado,wewe ni kijana mudogo eeh?Bado
Na kaburi za kupangisha?Bado,nisamilie-bado.
Na kondoo mwenye mwanya?Bado,hata hiyo hujaona?Bado
CHORUS
VERSE YA 2
"Mnanisema vibaya kisa kusimamisha bus,na mahali ni porini ni bora nikawa wazi,bus ya kwanza kusimamisha kanipita kabisa,nikaona nikae rabarabani kabisa,gari ya pili ikaja ikafunga breki kali,dereva na abiria wote wakawa wakali.
Masai tungekugonga haya unakwenda wapi?
Masai:Aah mimi nilitaka kujua tu ni saa ngapi.
Wakaanza kunicheka wengine wamekarisika".

Na kuna mudogo wangu amevunjika muguu,tulikuwa tuko wote tunakwenda kwa sikukuu,tuko kwenye lori tunaimba tunaruka juu,eeh yule rafiki yangu si kapandisha mori,karuka juu zaidi kasahau yupo kwenye lori,alivyorudi chini kajikuta kwenye lami,ikawa bonge la soo na noma kilo kumi.
Bado hujaona samaki imepakwa wanja?Bado,nasema?Bado
Kinyonga ameshikwa na kwikwi?Bado
Mbwa anakohoa kapaliwa na kwikwi?Bado,alikuwa anabweka umbea-Bado
Kupewa makande kwenye ndege?Bado,hujasafiri na ndege eeh?Bado
Bus imefungwa injini ya pikipiki?Bado,Tanga na Arusha siku nne-Bado,wewe kila kitu ni bado?Bado,eeh?Bado
Hata kuzaliwa?Bado
CHORUS
VERSE YA 3
Hata mama ntilie muzungu bado hujaona?
Eeh Samahan babe sasa hivi tumemaliza chai,sasa hivi tumebakisha supu ya mkia na chapati,karibu sana(In European accent)
CHORUS
KIBWAGIZO
Na ndugu zangu wasambaa kwa nini majina yenu yote yanaanzia na She she she? Shehulosa,Shehasi,Shehemweri,Shelukosi,angalieni hata msije mkasema shetani ndugu yenu.
[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]Ilikuwa burudani sana yaani nilitaka kuandika mstari mmoja tu nikajikuta nimeandika nyimbo nzima kwa burudani iliyopo kwenye hii nyimbo.
Watoto waliozaliwa 2000 wamezikosa burudani hizi
Hapo kwenye she she ndo palikuaga pananivu ja mbafu sangu [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Amini mkuu
Hivi kina Chino sijui chinawaman, jaiva, mabantu wanaimba nn
Ukisikiliza nyimbo zao hakuna rhymes, hakuna rhythm ,hakuna ujumbe
Zamani wasanii walisimama katika dhima halisi ya sanaa(kuelimisha, kusisimua, kuburudisha na kuonya), siku hizi asilimia kubwa ya wasanii wamesimamia sehemu moja tu ambayo inawapa wateja wengi zaidi nayo ni kuburudisha tu na sio mambo mengine na ndiomana hakuna cha maana wanachoimba zaidi ya mdundo na maneno yasiyoeleweka yanaanzia wap yanaishia wap
 
Hapo kwenye she she ndo palikuaga pananivu ja mbafu sangu [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Na kwenye video yake alipomuuliza hilo swali rafiki yake ambaye ni msambaa alikasirika akaanza kumkibiza na bakora ilikuwa inanichekesha sana aisee😀😀😀😀😀
 
Baada ya marlaw kuacha kuimba niliishia hapo kuwa msikilizaji wa bongo.

Heri nisikilize nyimbo za jadi kuliko hizo nyimbo Zenu za mwagia ndani
 
Mimi labda ninatatizo ila kiukweli AY sijawahi kumuelewa kabisa. Tangu nimeanza kumsikiliza wayback hajawahi kutoa ngoma nikaielewa kabisa. Labda ile Yuleee, nampenda sana jinsi alivyooo.... nayo kwa mbaali sana. Hata nikikutana nayo kwenye playlist ntaiskip tu.
AY
 
Back
Top Bottom