Ni msanii gani wa muziki Bongo ambaye tangu uanze kumsikia hujawahi muelewa kabisa?

Ni msanii gani wa muziki Bongo ambaye tangu uanze kumsikia hujawahi muelewa kabisa?

Kuna yule ndugu wa Ally Kiba anaitwa abdu Kiba.
Huyu jamaa tangu ameanza muziki hakuna msanii yeyote hata wa taarabu aliyeona umuhimu wake ili amshirikishe, tangu Tanganyika imepata uhuru na mpaka sasa nchi imezeeka hajawahi kushirikishwa kwenye nyimbo yoyote hata zile za misiba ๐Ÿ˜Ž
๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚ Toa yako tuone
 
Rayvanny sijawahi kumuelewa kabisa.
Nyimbo zake nazozipa sikio ni kwetu na Te quielo aliyoimba na Marioo ila sipendi hata kuskia nyimbo zake.
๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚ Chui
 
[emoji2]
Zuchu kawaacha mbali Sana wasanii wenzake kwenye upande wa uandishi mashairi...

Ukiachana na zile nyimbo za kupigia show (ambazo wewe unaziita za kipumbavu) kama siji, chapati na honey Zuchu amezidi kuonesha umahari kwenye kutunga mashairi yaliyotukuka...

Halafu inabidi ujue muziki Una angle nyingi sema wabongo wanataka mtu aimbe nyimbo zinazogusa Matatizo kama alizofanya Lady Jay Dee kwenye Ngoma kama Mawazo, siri, Ndindindi, yote mlosema na Joto hasira...

Lakini Kwenye angle ya mapenzi pia watu wanashauriwa na kuburidika... Mfano hiyo Ngoma ya nyumba ndogo kuna meseji nzuri tu Kwa wanawake jinsi Ndoa zao zinayumba Kwa kutokujali waume zao Hadi inapelekea kuzaliwa Kwa nyumba ndogo.... Rejea hii mistari

....Bwan'ako ana lalamika kila akija nyumbani
Eti hujui kupika
Kula kwako hatamani
Kwangu kalipenda tembele
Toto laini, laini
Shoga umenyimwa upole
Tajiri wa kisirani
Na samahani, samahani mwanzoni
Siku jitambulisha mimi nani
Ni miye njoo mke mwenzio A.K.A nyumba ndogo......

Hapo kawasihi Sana wanawake waache Kiburi na kisirani.... Sema nyie hua hamsikilizi content
Huyo kazoea nyimbo za dini kwa zuchu hawezi kukuelewa hata mkeshe, achana naye
 
Hamorapa amewahi kuimba kua ananuka kama kimba,..hawa wasanii sijui hua wanatumia nini huko studio ๐Ÿค”
๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ™Œ๐Ÿ™Œ๐Ÿ™Œ
 
Ila huu uzi nimecheka sana ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
 
Zuchu ndo msanii Bora wa kike tangu Tanzania ianze [emoji2957] ulibisha utakua mchawi [emoji3061][emoji88][emoji23][emoji23]
Tatizo ni moja:

Watanzania wengi hawana background ya kuujua utamu wa MZIKI pia hawapendi kusikiliza mziki wa kale. Pia hawapendi kufanya utafiti...

Unavyosema ZUCHU ni Msanii Bora wa Kike Tangia TZ ianze unamaanisha nini exactly..

Nakupa ASSIGNMENT mtafute Msanii anaitwa Bi Shakila.. msikilize huyo Mwanamama......... nyimbo zake bado zinaishi mpk leo.
 
Young lunya sielewagi hata anaimba nini.

Hamisa mobeto alee tu watoto mziki haumpendi.

Mkongwe sugu sijawahi kuelewa anachoimba
 
๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚ hawawaelewi sasa mtu km harmorapa anaimba nini??
Harmorapa ni sawa, sasa mtu anasema Jux hajui kuimba kweli?

Kuna ile nyimbo yake moja ndio naikubaliz Zaidi ya NISIULIZWE... umeiskia lyrics zake, ile instrumental... rhythm ipo poa.
 
Msanii diamond platnumz
rais wa wasafi WCB
Simba la masimba dangote
we zombie haujui

msanii nambari moja barani afrika na Tanzania forever and ever ๐Ÿ˜๐Ÿ˜ƒ๐Ÿ˜ƒ๐Ÿ˜ƒ๐Ÿ˜ƒ
 
Back
Top Bottom