Wakipekee
JF-Expert Member
- Aug 21, 2019
- 6,194
- 10,711
LegendMikononi mwa polisi,wanakuita sugu,dar es salaam, ndani ya bongo,kwa penzi,makini na fani,chini ya miaka 18,Hali halisi,deiwaka,
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
LegendMikononi mwa polisi,wanakuita sugu,dar es salaam, ndani ya bongo,kwa penzi,makini na fani,chini ya miaka 18,Hali halisi,deiwaka,
Bora hata zawadi lakini zuchu huwa anaimba upumbavu tu hasa hiyo nyimbo ya nyumba ndogo na sijiNisamehe, Zawadi, Fire, Mwambieni, Nyumba Ndogo, Sukari na Utaniua (the best song)
[emoji2]Bora hata zawadi lakini zuchu huwa anaimba upumbavu tu hasa hiyo nyimbo ya nyumba ndogo na siji
😂Hapana nashauri uzi ubadirishwe TITLE uitwe "NI MSANII GANI UNAYEMCHUKIA BILA SABABU za MSINGI"
Ndio ninachokiona hapa..
AY pindi niko secondary niliikariri sana mistari yake na ya mwana FA. Nakbuka tulikuwa na utaratibu wa kushindana kuchana mistari, sisi wengine tulikuwa tunapenda ila vipaji hatuna ila kuna wenzetu wawili walikuwa na vipaji ile hatari na sasa ni wasanii wanaojulikana sana hapa nchini.Mimi labda ninatatizo ila kiukweli AY sijawahi kumuelewa kabisa. Tangu nimeanza kumsikiliza wayback hajawahi kutoa ngoma nikaielewa kabisa. Labda ile Yuleee, nampenda sana jinsi alivyooo.... nayo kwa mbaali sana. Hata nikikutana nayo kwenye playlist ntaiskip tu.
Mtoe Ali Kiba na Jux hapo harakaHii ni 10 bora ya watu ambao hawakupaswa kujihusisha na muziki kwa sababu ya kukosa vipaji;
1. Jux
2. Shilole
3. Wakazi
4. Queen Darlin
5. Madee
6. AY
7. Babalevo
8. Ali Kiba
9. Tundaman
10. Best Naso.
Hamorapa amewahi kuimba kua ananuka kama kimba,..hawa wasanii sijui hua wanatumia nini huko studio 🤔Hamorapa.
Wananiita KR jibaba mziki mkubwaKuna mzee mwenzetu wa kuitwa sijui Kr mulard jibaba mzimu duuh anaimba kama anaongea yule mjamaa
Shilole alipiga show huko Brussels, Ubelgiji na kuacha historia isiyoweza kufutika. Wazungu walishindwa kujizuia na kujikuta wanacheza miondoko ya Shishi baby. Baada ya hiyo show watu wenye roho mbaya na wivu walimfungia kujihusisha na muziki kwa mwaka mmoja.Shilole
Luludiva
Snura
Ibra wa harmonize
Ay ataAY wala hahitaji kunijua mimi. Mimi sio celeb...
Wasaanii karibu wote wanao imba saizi siwaelewi. Namaanisha karibu wote...AY pindi niko secondary niliikariri sana mistari yake na ya mwana FA. Nakbuka tulikuwa na utaratibu wa kushindana kuchana mistari, sisi wengine tulikuwa tunapenda ila vipaji hatuna ila kuna wenzetu wawili walikuwa na vipaji ile hatari na sasa ni wasanii wanaojulikana sana hapa nchini.
Nafikir kutokumkubali ni sababu hukufuatilia mziki wake, upande wangu wanaoimba sasa hiv wengi siwaelewi sababu siwafuatilii.
🤣🤣🤣🤣🤣 Mtatuchomoa mbavu jamani![]()
Wasanii wengine....wanajua kurusha watu-Rap ama kufukafoka
![]()
😂😂😂🤣 Naunga mkono hojaBongo wote
Rosa lee mtoe pls1.Harmorapa
2.Baba Levo
3.Lulu Diva
4.Queen Darlene
5.Rosa lee
6.Shilole
7.R.i.p(Godzilla)
8.Amber Lulu
TID anajua huo wivuTID CHAPOMBE.....TAKATAKA
Hapo kwenye siamini, bonge la ngoma la muda woteTID mnyama nakataa. Enzi zake tumeenjoy sana mziki wake.
Zeze
Girlfriend
Mtanzania pekee
Rahisa
Siamini... etc. Kati ya wasanii walokuwa hawakosei wakipiga ni TID.
Hawa umepatia, hakuna waimbajiD.voice
Mac voice
Rayvanny
Bilnass
Whozu
Snura. Q darleen, shilole, lulu diva