Ni mshikamano wa ajabu, wapinzani wamepigwa na butwaa

Ni mshikamano wa ajabu, wapinzani wamepigwa na butwaa

Mataga bwana mnajitekenya na kucheka wenyewe kazi ipo

Zama za mapambio zimeisha mmebaki na porojo halafu mnavyotia huruma hadi mama kawashtukia hapendi unafiki wenu
Mmebaki kuanzisha vinyuzi vya kujikomba enyi sukuma gang
Pole yenu
😂😂😂😂😂😂😂😂
 
Wapinzani wa Tanzania wao huwa wanawaza maslahi yao muda wote. Hivyo hawajali kabisa manufaa ya taifa.

Alifopafariki JPM wao walikuwa wanajua kutatokea mgongano wa kugombea nafasi ya urais hasa wakijua kuwa Ccm wasingekubali kuongozwa na mwanamama.

Hivyo wao walitegemea CCM ivurugane na wavunje katiba ili ugomvi mkubwa utokee. Wapate ya kusema na kufuruhaia mtafaruku ukitokea.

Leo hii mambo ni shwari Ccm imeonyesha ukomavu wa kisiasa. Hakuna kilichoharibika na katiba haijavunjwa.

Sasa hivi Dodoma mambo yanakaribia kuiva.Kwa hakika ni mshikamano wa hali ya juu.
Na bado.Huoni Bw. Mbatia sasa hivi anaongea kama chizi ? Kwa sababu Mbatia huyu siyo Mbatia yule kabisa .Mara ooh waziri mkuu ajiuzulu kupisha Rais kuunda serikali upya,mara ooh Mama amuite Tundu Lissu arudi nyumbani utadhani kuna mtu alimfukuza. Yaani ni ujinga ,tena ujinga kisha ujinga .Kumbe ubunge ulikuwa umewatuliza watu vichwa visipate moto.
 
Hilo la kuwapa watu ubunge kinyume na katiba sina uhakika.

Ila ibara ya 30 inakupa majibu haki nazo zinamipaka.
Mipaka huainishwa na sheria na katiba yenyewe siyo mtu anaamka asubuhi na kutangaza marufuku ya mikutano jambo ambalo limefanyika toka mfumo wa vyama vingi uanze. Haki ya kujumuika iko wapi?
 
Hakika ww n nguchiro
Wapinzani wa Tanzania wao huwa wanawaza maslahi yao muda wote. Hivyo hawajali kabisa manufaa ya taifa.

Alifopafariki JPM wao walikuwa wanajua kutatokea mgongano wa kugombea nafasi ya urais hasa wakijua kuwa Ccm wasingekubali kuongozwa na mwanamama.

Hivyo wao walitegemea CCM ivurugane na wavunje katiba ili ugomvi mkubwa utokee. Wapate ya kusema na kufuruhaia mtafaruku ukitokea.

Leo hii mambo ni shwari Ccm imeonyesha ukomavu wa kisiasa. Hakuna kilichoharibika na katiba haijavunjwa.

Sasa hivi Dodoma mambo yanakaribia kuiva.Kwa hakika ni mshikamano wa hali ya juu.
 
Wapinzani wa Tanzania wao huwa wanawaza maslahi yao muda wote. Hivyo hawajali kabisa manufaa ya taifa.

Alifopafariki JPM wao walikuwa wanajua kutatokea mgongano wa kugombea nafasi ya urais hasa wakijua kuwa Ccm wasingekubali kuongozwa na mwanamama.

Hivyo wao walitegemea CCM ivurugane na wavunje katiba ili ugomvi mkubwa utokee. Wapate ya kusema na kufuruhaia mtafaruku ukitokea.

Leo hii mambo ni shwari Ccm imeonyesha ukomavu wa kisiasa. Hakuna kilichoharibika na katiba haijavunjwa.

Sasa hivi Dodoma mambo yanakaribia kuiva.Kwa hakika ni mshikamano wa hali ya juu.
Nikajua umeshafariki kuunga mkono juhudi!
 
Wapinzani wa Tanzania wao huwa wanawaza maslahi yao muda wote. Hivyo hawajali kabisa manufaa ya taifa.

Alifopafariki JPM wao walikuwa wanajua kutatokea mgongano wa kugombea nafasi ya urais hasa wakijua kuwa Ccm wasingekubali kuongozwa na mwanamama.

Hivyo wao walitegemea CCM ivurugane na wavunje katiba ili ugomvi mkubwa utokee. Wapate ya kusema na kufuruhaia mtafaruku ukitokea.

Leo hii mambo ni shwari Ccm imeonyesha ukomavu wa kisiasa. Hakuna kilichoharibika na katiba haijavunjwa.

Sasa hivi Dodoma mambo yanakaribia kuiva.Kwa hakika ni mshikamano wa hali ya juu.
Halafu wametumia muda mwingi kugombana na HAYATI, matusi ya kutosha yameporomoshwa kwa HAYATI. Sasa watulie wamuache mama afanye kazi, maandamano hayana tija. Katiba tuliyo nayo ndiyo imekuwa kichocheo kikubwa cha UTULIVU NCHI ILIO NA NA PIA UTULIVU NDANI YA CCM.
KATIBA YA CCM NI KAMA KATIBA YA NCHI yaani ccm wanabonyeza button tu mambo yanakwenda muswano. Hakunaga kama ccm
 
Hivyo wao walitegemea CCM ivurugane na wavunje katiba ili ugomvi mkubwa utokee.
Katiba kuvunjwa si jambo la kushangaza kwa serikali hii ya CCM. Mifano ipo mingi.1) Kuzuia mikutano ya hadhara ya vyama vya siasa na watu kutoa maoni yao
2) Kuwapa ubunge watu kinyume na katiba
3) Kufanya matumizi nje ya ya badget iliyoidhinishwa na bunge kama inavyoagizwa na katiba, orodha ni ndefu.
Kama ni kuvurugana kutokana na kuvunja katiba ingekwisha vurugwa.
mLISHANGILIA NA KUKESHA MKINYWA MVINYO ETI SASA KODI HAMTALIPA, jiandae leo tarehe 29/4/2021 ya Kaisari inahitajika kabla ya tarehe 5/5/2021. Nawasalimu katika jinala jamhuri ya Tanzania. KAZI IENDELEE ALIPOISHIA HAYATI
 
Muendelee kushika adabu kwetu sisi mabosi wenu wananchi, mkileta jeuri na kujimwambafai walahi wote mtaendelea kufa mmoja baada ya mwingine kama alivyotoa unabii Godbless Lema!
Halafu mnategemea kuchukua dola kwa aina ya uongozi wa kina LEMA .
 
Muendelee kushika adabu kwetu sisi mabosi wenu wananchi, mkileta jeuri na kujimwambafai walahi wote mtaendelea kufa mmoja baada ya mwingine kama alivyotoa unabii Godbless Lema!
Au nasema uongo ndugu zangu?
 
Back
Top Bottom