Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sifa za kuwa mwanachama wa Chadema ni pamoja na kuwa na matusi kama haya. Wewe lazima uteuliwe kama siyo kuwaua wanachama wenzio basi kupumliwa.Walikuibia mumeo?
Hakuna mpuuzi kama weweAcha upuuzi
Siku zenu zinahesabika kabla ya kurudishwa kwenu[emoji41]
Sukuma gang mwisho wenu unazidi kusogea .
Mtafurumushwa woote muishe mrudi kwenu mkalime mihogo
kwani unataka niniKama siyo shoga umejuaje kuwa mada ni ya kishoga?
Sent from my Infinix X680 using JamiiForums mobile app
Sisi tinalilia nchi yetu lkn nyinyi mnajikomba wakati kwenu ni burundimaskini mnalialia sana
Na wewe kama ni mwovu utakufa soon!Acha upuuzi
Mangula yupo msimtegee tena sumu.Lissu yupo?
Usikimbie.
Sisi tinalilia nchi yetu lkn nyinyi mnajikomba wakati kwenu ni burundi
Nini cha kitoto hapa?
We ni chawa, huwezi jua yanayoendelea kwenye koti, utajua utakapohisi joto!!!Wapinzani wa Tanzania wao huwa wanawaza maslahi yao muda wote. Hivyo hawajali kabisa manufaa ya taifa.
Alifopafariki JPM wao walikuwa wanajua kutatokea mgongano wa kugombea nafasi ya urais hasa wakijua kuwa CCM wasingekubali kuongozwa na mwanamama.
Hivyo wao walitegemea CCM ivurugane na wavunje katiba ili ugomvi mkubwa utokee. Wapate ya kusema na kufuruhaia mtafaruku ukitokea.
Leo hii mambo ni shwari Ccm imeonyesha ukomavu wa kisiasa. Hakuna kilichoharibika na katiba haijavunjwa.
Sasa hivi Dodoma mambo yanakaribia kuiva.Kwa hakika ni mshikamano wa hali ya juu.
Chadema wanaiba kodi ipi ya wananchi?Majizi chadema wanasemaje?
Wapinzani wa Tanzania wao huwa wanawaza maslahi yao muda wote. Hivyo hawajali kabisa manufaa ya taifa.
Alifopafariki JPM wao walikuwa wanajua kutatokea mgongano wa kugombea nafasi ya urais hasa wakijua kuwa CCM wasingekubali kuongozwa na mwanamama.
Hivyo wao walitegemea CCM ivurugane na wavunje katiba ili ugomvi mkubwa utokee. Wapate ya kusema na kufuruhaia mtafaruku ukitokea.
Leo hii mambo ni shwari Ccm imeonyesha ukomavu wa kisiasa. Hakuna kilichoharibika na katiba haijavunjwa.
Sasa hivi Dodoma mambo yanakaribia kuiva.Kwa hakika ni mshikamano wa hali ya juu.