mume wa mtu
JF-Expert Member
- Aug 11, 2015
- 653
- 386
Tuliambiwa mzee mangul amewekewa sumu akiwa ndani ya mkutano,mpaka leo hajakamatwa mtu!ccm haifai kuongoza nchi na tutaendelea kulalamika miaka nenda rudi kama itaendelea kubaki madarakani.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ukiambiwa urudi kwenu burundi unarusha ngumi hewaniWapinzani wa Tanzania wao huwa wanawaza maslahi yao muda wote. Hivyo hawajali kabisa manufaa ya taifa.
Alifopafariki JPM wao walikuwa wanajua kutatokea mgongano wa kugombea nafasi ya urais hasa wakijua kuwa Ccm wasingekubali kuongozwa na mwanamama.
Hivyo wao walitegemea CCM ivurugane na wavunje katiba ili ugomvi mkubwa utokee. Wapate ya kusema na kufuruhaia mtafaruku ukitokea.
Leo hii mambo ni shwari Ccm imeonyesha ukomavu wa kisiasa. Hakuna kilichoharibika na katiba haijavunjwa.
Sasa hivi Dodoma mambo yanakaribia kuiva.Kwa hakika ni mshikamano wa hali ya juu.
Huyo ndiyo mwenyewe haswaaMada ya kishoga
Wacha ushamba wa kwenuHuu ni usen.....
Hawa wanyarwanda na warundi bado hawajakata tamaa kuwa kazi yao sasa imeisha.ni ngekuwa karibu na mtoa mada ningepiga kibao kimoja mpaka azunguke
Wapinzani wa Tanzania wao huwa wanawaza maslahi yao muda wote. Hivyo hawajali kabisa manufaa ya taifa.
Alifopafariki JPM wao walikuwa wanajua kutatokea mgongano wa kugombea nafasi ya urais hasa wakijua kuwa Ccm wasingekubali kuongozwa na mwanamama.
Hivyo wao walitegemea CCM ivurugane na wavunje katiba ili ugomvi mkubwa utokee. Wapate ya kusema na kufuruhaia mtafaruku ukitokea.
Leo hii mambo ni shwari Ccm imeonyesha ukomavu wa kisiasa. Hakuna kilichoharibika na katiba haijavunjwa.
Sasa hivi Dodoma mambo yanakaribia kuiva.Kwa hakika ni mshikamano wa hali ya juu.
Hao ndiyo lile gang maarufuKumbe unafiki na kujikomba ndiyo vinaitwa Mshkamano.....!!
Lema anatisha sanaMuendelee kushika adabu kwetu sisi mabosi wenu wananchi, mkileta jeuri na kujimwambafai walahi wote mtaendelea kufa mmoja baada ya mwingine kama alivyotoa unabii Godbless Lema!
Mnaweweseka nyinyi SUKUMA GANG, CHAWA NA MATAGAYanazidi kuweweseka
Na majiziyani wapinzani wapigwe butwaa kuona mkusanyiko wa fisi ??
Tuluulize wewe habari za Nyamirembe rwandaMkuu habari za Dodoma?
Sukuma gang mwisho wenu unazidi kusogea .Hawaamini wanachokiona. Siku wakigundua na kuelewa adui yao sio mtu bali chama itakua its too late
Huyo anatoka rwandaUtafikiri mtoa mada anatoka nje ya nchi.
Kama siyo shoga umejuaje kuwa mada ni ya kishoga?Mada ya kishoga
Yes, ni bora hao ambao wakitabiri mwovu kufa anakufa kweli!Halafu mnategemea kuchukua dola kwa aina ya uongozi wa kina LEMA .
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]. Umepiga pabaya, nawasikia wanagugumia maumivu.Na bado.Huoni Bw. Mbatia sasa hivi anaongea kama chizi ? Kwa sababu Mbatia huyu siyo Mbatia yule kabisa .Mara ooh waziri mkuu ajiuzulu kupisha Rais kuunda serikali upya,mara ooh Mama amuite Tundu Lissu arudi nyumbani utadhani kuna mtu alimfukuza. Yaani ni ujinga ,tena ujinga kisha ujinga .Kumbe ubunge ulikuwa umewatuliza watu vichwa visipate moto.