Ni mshikamano wa ajabu, wapinzani wamepigwa na butwaa

Tuliambiwa mzee mangul amewekewa sumu akiwa ndani ya mkutano,mpaka leo hajakamatwa mtu!ccm haifai kuongoza nchi na tutaendelea kulalamika miaka nenda rudi kama itaendelea kubaki madarakani.
 
Ukiambiwa urudi kwenu burundi unarusha ngumi hewani
 

Utoto@work.
 
Muendelee kushika adabu kwetu sisi mabosi wenu wananchi, mkileta jeuri na kujimwambafai walahi wote mtaendelea kufa mmoja baada ya mwingine kama alivyotoa unabii Godbless Lema!
Lema anatisha sana
 
Hawaamini wanachokiona. Siku wakigundua na kuelewa adui yao sio mtu bali chama itakua its too late
Sukuma gang mwisho wenu unazidi kusogea .
Mtafurumushwa woote muishe mrudi kwenu mkalime mihogo
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]. Umepiga pabaya, nawasikia wanagugumia maumivu.

Sent from my Infinix X680 using JamiiForums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…