Ni mshikamano wa ajabu, wapinzani wamepigwa na butwaa

Mipaka huainishwa na sheria na katiba yenyewe siyo mtu anaamka asubuhi na kutangaza marufuku ya mikutano jambo ambalo limefanyika toka mfumo wa vyama vingi uanze. Haki ya kujumuika iko wapi?
Kasome ibara ya 30 ya katiba ya JMT.
 
We ni chawa, huwezi jua yanayoendelea kwenye koti, utajua utakapohisi joto!!!
 

CCM ndio babalao

Anayetaka kubishana na hili aje sasaπŸ˜…πŸ˜…πŸ’ƒπŸ’ƒπŸ’ƒ
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…