Ni msomi yupi mwenye sifa hizi na bado yuko mtaani hana ajira?

Ni msomi yupi mwenye sifa hizi na bado yuko mtaani hana ajira?

You are such a Poor Brain ! I don't think the greatest philanthropists who also happen to be the very top-notch billionaires will sympathize with your small-heartedness.
Asante.

Ngoja nichomoe elfu kumi hapa nikale nyama choma kwa raha zangu tele.

Let the sufferers bear their own failures and pain. THAT'S ALL.

Cc: min -me Poor Brain
 
Sasa first class ya lottery degrees 😂
Wew ulie andika I'm pretty sure hujawahi nunua even gari la million 50

People now are looking for skills sio Your GPA,kijana wenye GPA wako hapo ubungo wanadanga kama hajui


Okay una degrees ya Programming first class Create a project for Us and present 😂 Hola You keep Your GPA mbali na mtaa Broke kid

Your Yelling here with Your 410k salary bado You are working 11 hours 😂 Okay subiri hapo mpaka ujielewe
 
Hatuko kanisani au msikitini hapa! Nilitanguliza kusema "povu ruksa" kaa kwenye mada! Tuondolee dini hapa eboooh!
Elimu ni sehemu ya maisha kwa mwanadamu ila nakukumbusha kutomdhihaki jirani yako,

ingawaje maisha sio bahati ni upambanaji na kujituma kwa malengo,

mfumo wa elimu Tanzania ni kumfunza mtanzania kuajiriwa na serikali, la hasha serikali yenu haijaweka misingi bora ya kuajiri wananchi wake.

fikiria kustaafu mpaka ufike miaka 60. Sasa huyu kijana wa mtaani aliyesoma hawezi kupata ajira kwa wakati.
 
Elimu ni sehemu ya maisha kwa mwanadamu ila nakukumbusha kutomdhihaki jirani yako,

ingawaje maisha sio bahati ni upambanaji na kujituma kwa malengo,

mfumo wa elimu Tanzania ni kumfunza mtanzania kuajiriwa na serikali, la hasha serikali yenu haijaweka misingi bora ya kuajiri wananchi wake.

fikiria kustaafu mpaka ufike miaka 60. Sasa huyu kijana wa mtaani aliyesoma hawezi kupata ajira kwa wakati.
Hapo umeongea naweza kukujibu! Nachotaka kuwaambia vijana waache kuchezea fursa wanapoamua kusoma au kwenda shule! Tangu mwanzo wasome wakitegemea matokeo ya maamuzi yao kwa hicho wanachokisoma! Wakisoma masomo yasiyo na mustakabali wakubali matokeo! Kabla ya kuchagua cha kusoma angalia soko linahitaji nini na wewe kichwa chako kikofiti kuja na ufaulu wa juu wa Division ONE au first class? Kama uwezo huo huna basi soma ili ukue kiumri na kupata maarifa ya kujitambua na mazingira yanayokuzunguka na sio kusumbua watu na ajira!
 
Back
Top Bottom