BICHWA KOMWE -
JF-Expert Member
- Jul 21, 2022
- 6,373
- 16,073
Asante.You are such a Poor Brain ! I don't think the greatest philanthropists who also happen to be the very top-notch billionaires will sympathize with your small-heartedness.
KFC hakuwahi kulialia mtaani! Alikuwa na ubongo na akili na maarifa akavipa kazi katoboa! Nyie bongo zenu mmezipeleka wapi?Fuatilia historia ya KFC, ndiyo utajua hujui.
Kwa hiyo sisi tunaokula mboga za majani leo inakuajeπAsante.
Ngoja nichomoe elfu kumi hapa nikale nyama choma kwa raha zangu tele.
Let the sufferers bear their own failures and pain. THAT'S ALL.
Cc: min -me Poor Brain
ππππ kuleni majani mpaka mgeuke kuwa mbuziKwa hiyo sisi tunaokula mboga za majani leo inakuajeπ
Elimu ni sehemu ya maisha kwa mwanadamu ila nakukumbusha kutomdhihaki jirani yako,Hatuko kanisani au msikitini hapa! Nilitanguliza kusema "povu ruksa" kaa kwenye mada! Tuondolee dini hapa eboooh!
Roho mbaya bichwaπππππ kuleni majani mpaka mgeuke kuwa mbuzi
Umefanya research ya uwezo wa wauza vyakula wote wa hapa bongo ukaona hawawezi kufikia levels za KFC?KFC hakuwahi kulialia mtaani! Alikuwa na ubongo na akili na maarifa akavipa kazi katoboa! Nyie bongo zenu mmezipeleka wapi?
Hapo umeongea naweza kukujibu! Nachotaka kuwaambia vijana waache kuchezea fursa wanapoamua kusoma au kwenda shule! Tangu mwanzo wasome wakitegemea matokeo ya maamuzi yao kwa hicho wanachokisoma! Wakisoma masomo yasiyo na mustakabali wakubali matokeo! Kabla ya kuchagua cha kusoma angalia soko linahitaji nini na wewe kichwa chako kikofiti kuja na ufaulu wa juu wa Division ONE au first class? Kama uwezo huo huna basi soma ili ukue kiumri na kupata maarifa ya kujitambua na mazingira yanayokuzunguka na sio kusumbua watu na ajira!Elimu ni sehemu ya maisha kwa mwanadamu ila nakukumbusha kutomdhihaki jirani yako,
ingawaje maisha sio bahati ni upambanaji na kujituma kwa malengo,
mfumo wa elimu Tanzania ni kumfunza mtanzania kuajiriwa na serikali, la hasha serikali yenu haijaweka misingi bora ya kuajiri wananchi wake.
fikiria kustaafu mpaka ufike miaka 60. Sasa huyu kijana wa mtaani aliyesoma hawezi kupata ajira kwa wakati.
Weee vipi? Nifanye research ya nini? Kama wanauwezo si wataonekana sokoni?Umefanya research ya uwezo wa wauza vyakula wote wa hapa bongo ukaona hawawezi kufikia levels za KFC?
Sasa mkuu mbona na mimi nahusika hapo πππππ¬π¬π¬π¬You are such a Poor Brain ! I don't think the greatest philanthropists who also happen to be the very top-notch billionaires will sympathize with your small-heartedness.
Mrb maana yake Miraba mkuu.Hiyo "mrb" kwanza inamaanisha nini?
Jamaa mshamba huyo...Huyo mtu anaongelea masuala ya GPA kali wakati mtaani wanaangalia Experience.
Utaota mkia mkuu ππππAstakafillah wabarakatu ππ
πππππ Weee bichwa komwe..Asante.
Ngoja nichomoe elfu kumi hapa nikale nyama choma kwa raha zangu tele.
Let the sufferers bear their own failures and pain. THAT'S ALL.
Cc: min -me Poor Brain
GPA ya ngapi? Alikuonyesha? Muombe akuonyeshe alafu njoo hapa! Hiyo GPA ya Course hipi vileee??? Nacho ni kipengele!Jamaa mshamba huyo...
Mtaani huku kuna watu wana gpa kali na wanakalishwa
Sasa mbona hueleweki ishu ni gpa au ishu ni course.... ??GPA ya ngapi? Alikuonyesha? Muombe akuonyeshe alafu njoo hapa! Hiyo GPA ya Course hipi vileee??? Nacho ni kipengele!
Sijaelewa hata robo ππππππ Weee bichwa komwe..
Ila si umeelewa hapo
Naona katika ujumbe wako na mi nipo buana ππππ wakat kwenye ugomvi sikuwepo daahSijaelewa hata robo π
Usisome ili mradi unasoma! Soma kwa malengo yako na soko! Uzi umezingatia hilo pia! Rudi nyuma uusome!Sasa mbona hueleweki ishu ni gpa au ishu ni course.... ??