Ni Mtanzania Mwendawazimu tu hatoweza Kuishangilia Yanga SC iliyo Bora kuliko Simba SC ikicheza na Mamelodi Sundowns FC leo Usiku

Popo maa popo maa popo maa imba kwa sauti kubwa uone ilivyo raha
 
Huku anyang'anywe simu. Anaandika ushuzi kila dakika.
Nakuja na Nyuzi zingine Saba muda si mrefu hivyo kaa tayari Kuzisoma sawa? Akili Kubwa GENTAMYCINE najua kweli Kuwaburuza na kuwafanya Fools kama Wewe muda wote muwe Mnanifuatilia na Mnanisoma sana hapa JamiiForums.

Kudadadeki....!!
 
Baada ya Simba kupigwa, sasa unakuja na nyuzi za kuisifia Yanga. Si ulisema mwezi mtukufu kuna timu itapoteza mechi zote, majini yanagoma. Sasa unaishangilia ya nini.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…