Swali kwenu wadau..
Ila kwa upande wangu, sioni kama kuna mtanzania maarufu zaidi kwa Tanzania, na nje ya Tanzania kumzidi DIAMOND PLATNUMZ
Na kuja kutokea mtu kama huyu itachukuwa vizazi na vizazi, kama ilivyo kwa umaarufu wa Michael Jackson duniani.
Muhimu tujadili juu ya misingi ya utekelezaji wa elimu bure
Huo ni mtazamo wako
Na ndio uhalisia, hakuna kama Diamond Platnumz hilo lipo wazi kabisa...!
Inawezekana ikawa kweli Kidingi ila umetumia kigezo gani au followers?? Umeangalia nini
Mi nimeuliza katumia kigezo gani kama ni followers au nini??
Mi nimeuliza katumia kigezo gani kama ni followers au nini??
Sijakataa ila wema sepetunga ni hatari kwa afya yakoSidhani kama kuna hitaji ubishi kuhusu hii mada #jeutanipenda umeona chideo yule mtoto zari