Mwachiluwi
JF-Expert Member
- Mar 10, 2022
- 25,258
- 48,589
Sawa nimekuelewa kaka next time nitajitaidi nichapishe mada utakazoJf imeanza kupoteza muelekeo Kwa kuchapisha mada kama hizi na kufuta zile za msingi
Nilikusahau rafiki yangu wa faida sema ili jina gumu sana ase πππKama the former Bob sambeke now as sambinyakwe hujamtaja we Ni ngeke
Sambinyakwe liked youNilikusahau rafiki yangu wa faida sema ili jina gumu sana ase πππ
Duh pole mda mwingine kuna mambo ni ya kupotezea linda moyo wako kuliko vyote uvilindavyo humu ndimo zina toka chem chem za uzimaSiku izi sijaona watu watata watata...Kuna jamaa aliwai ni attack personal humu kama ananijua vile....
For the first time ever nilijikuta nimekasirika for sure tungepigana tungekua face to face alinitolea maneno ya maudhi na shombo balaa ππ
Exactly 100%Jf imeanza kupoteza muelekeo Kwa kuchapisha mada kama hizi na kufuta zile za msingi
Kuna wakati tunachafukwa uraiani tunamalizia hasira humu tusameheane mkuuπSiku izi sijaona watu watata watata...Kuna jamaa aliwai ni attack personal humu kama ananijua vile....
For the first time ever nilijikuta nimekasirika for sure tungepigana tungekua face to face alinitolea maneno ya maudhi na shombo balaa ππ
MKuu chukulia poa tu haya ni maisha na maisha ni watu.Jf imeanza kupoteza muelekeo Kwa kuchapisha mada kama hizi na kufuta zile za msingi
Mmh! Ngoja utaona sawaHellow
Hii ni jamii na jamii ni watu na tupo watu tofauti wenye tabia tofauti na sifa tofauti ni mtu gani wewe utamani apewe ban kabisa anakufurahisha na unamkubali sana mimi na anza na hawa watu....
Wewe pia sema ivi karibu sikukuona ase ulifumgiwa?Mmh! Ngoja utaona sawa
Jitahidi kufanyia kazi maneno yanayoanzia na herufi "h/H" ili kuleta maana sahihi.Hellow
Hii ni jamii na jamii ni watu na tupo watu tofauti wenye tabia tofauti na sifa tofauti ni mtu gani wewe utamani apewe ban kabisa anakufurahisha na unamkubali sana mimi na anza na hawa watu
DeepPond huyu kwa story zake huwa zina furahisha lakini zinajenga
Extrovert huyu michango yake kwenye thread huwa ya kibabe lakini pia thread zake zimeenda shule
Iceberg9 huyu pia ni mcheshi sana na ni mtu anaependa mawazo chanya na ni mtu poa sana hakulupuku
Lenie ni mchangamufu sana pia ni mtu yuko peace
Jack Palladino pia
Mshana Jr
GENTAMYCINE mzee wa ukorofi
ndege JOHN
AsanteJitahidi kufanyia kazi maneno yanayoanzia na herufi "h/H" ili kuleta maana sahihi.
Mfano mdogo tu kwenye kichwa cha habari yako ulitakiwa uandike hutotamani.....badala ya utamani....!!
Bila shaka ni mimiSiku izi sijaona watu watata watata...Kuna jamaa aliwai ni attack personal humu kama ananijua vile....
For the first time ever nilijikuta nimekasirika for sure tungepigana tungekua face to face alinitolea maneno ya maudhi na shombo balaa ππ
Huyo mpwayungu ana meno butuNanunua ugomvi mm kama mwalimu
Apewe ban mpwayungu village
Sikuio nilichukia balaa ππ nilicho jifunza Jf ya zaman kulikua na MA TROUBLE MAKER..Kuna wakati tunachafukwa uraiani tunamalizia hasira humu tusameheane mkuuπ