Kwa upande wangu wapo wengi ila Kwa uchache tu ni bwana mshana Jr, controla, extrovert, deep pond, cocastic, mideko,kiranga, watu 8, pia kuna yule bibie anatupia odds kulea kwenye mikeka nimemsahau kidogo, Lakini nje ya mada kuna Hawa wadau wa JF ya miaka ya 2012 kurudi nyuma huwa nawakumbuka sana sijui walipigwa life ban au wamekufa mf: paka jimmy, gfswonin, miss Chaga, Lara 1,Evelyn salt, the bold, heaven sent, badili tabia, CTU, Amicus curiae,mgt software, charming lady,, humble African, mbu, ashadii, etc, Jamaa walikuwa nondo balaa.....