Manfried JF-Expert Member Joined Oct 11, 2024 Posts 1,288 Reaction score 4,074 Dec 28, 2024 #1 Leo mgefikiria mtu Kama Mbowe kukataliwa na kila mtu . Hii ni weak up call kuwa katika kila kitu kuna majira yake . Hivyo ikifika wakati wa Ccm kuondoka wataondoka . Ni swala la muda tu.
Leo mgefikiria mtu Kama Mbowe kukataliwa na kila mtu . Hii ni weak up call kuwa katika kila kitu kuna majira yake . Hivyo ikifika wakati wa Ccm kuondoka wataondoka . Ni swala la muda tu.
G Gagnija Platinum Member Joined Apr 28, 2006 Posts 12,620 Reaction score 12,109 Dec 28, 2024 #2 Mbowe aking'oka, ccm nao wajiandae kukabidhi nchi.
Dkisaka JF-Expert Member Joined Aug 5, 2018 Posts 623 Reaction score 1,809 Dec 28, 2024 #3 Ccm Wana miezi madarakani soon wanakua majobless. & Kiongozi wetu Lissu ataanza kuwa confiscate vyote walivyo meza
Ccm Wana miezi madarakani soon wanakua majobless. & Kiongozi wetu Lissu ataanza kuwa confiscate vyote walivyo meza
Tate Mkuu JF-Expert Member Joined Jan 24, 2019 Posts 33,092 Reaction score 96,127 Dec 28, 2024 #4 Ni suala tu la muda. Hata watumie hila za aina gani, muda ukifika wataondolewa tu madarakani. Even by force!
Ni suala tu la muda. Hata watumie hila za aina gani, muda ukifika wataondolewa tu madarakani. Even by force!