Kunguru wa Manzese
JF-Expert Member
- Apr 20, 2016
- 12,729
- 18,119
Akikuelewa tu sio kukupeleka watakujua kabisa kwao
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wanao oa siku hizi ni wachache, nenda naye tu taratibu kama kuna dalili nzuri huko mbeleniSiwezi nimeachana nae
Hakuna muoaji hapo… muoaji anajulikana hyu ananitumia tu ana my wakeWanao oa siku hizi ni wachache, nenda naye tu taratibu kama kuna dalili nzuri huko mbeleni
Je ni sawa kumwambia akupeleke kwake kama mna mahusiano ya miezi 2Akikuelewa tu sio kukupeleka watakujua kabisa kwao
Miezi miwili yote hiyo ?? Aisee .mimi wiki tu lazima uje kwangu . Mmekuwa wapenzi watazamaji au hamna hisiaJe ni sawa kumwambia akupeleke kwake kama mna mahusiano ya miezi 2
Kama mnaonana gest jeMiezi miwili yote hiyo ?? Aisee .mimi wiki tu lazima uje kwangu . Mmekuwa wapenzi watazamaji au hamna hisia
Day one tu, as long as anatoa mzigoKama mnavojua tunakutana tukiwa watu wazima tuliokulia mazingira tofauti..
kabila tofauti mikoa tofauti, hivyo hatujuani wala kufahamiana tunaanzisha tu mahusiano
Natamani kujua ni kwa muda gani mkishakuwa na mahusiano mwanaume anapaswa kukupeleka nyumbani kwake anapoishi ili upajue
Na je Kuna ubaya wowote kama utamwambia akupeleke nyumbani kwake upajue hata kama mna mwezi mmoja wa mahusiano
Wengine wamekuwa wakidate na watu ambao hawajawai kufahamu muhusika anapoishi
Napenda kujua hili especially kwa wanaume ni kwa muda gani mnapeleka wanawake kwenye hizo ghetto zenu
SawaDay one tu, as long as anatoa mzigo
Ooh sawqUkiona mwanaume hajakupeleka kwake Kwa muda hata wa miezi 3 jua huna SIFA ya kuwa mke! Maana kama mnaweza kufanya mapenzi walau mara 3 Kwa wiki huko lodge jiulize mtakuwa mnatumia shs ngapi Kwa mwezi iwapo tuchukulie minimum lodge ni shs 20,000/ Bado Kuna kula na expenses nyingine wakati geto lipo wazi kabisa take care
Hio mbayaKama mnaonana gest je