- Thread starter
- #101
Hiyo sogea tuishi sio ya kumshauri binti mkuu… wanaume wengi huwapotezea muda kwa kuishi nao kama mke na mume akimchoka anaenda kuoa ndoa ya kanisaniSisi wanaume tunaogopa sana kuoa asikwambie mtu!nani anapenda ghafula kuwa na familia tatu za kuhudumia!!?yaani familia yake,kwao na kwenu!!?
Ndoa mwanamke ndio anaipigania Hadi kinaeleweka coz muda unaenda na anaing'ang'ania kama anaona huyo Me Ana potential fulani!
Ukisubiri protocol zifatwe utachelewa sana!Kwa usawa huu nani anataka kuoa zaidi ya kucheza game na Sheria ya ndoa ilivyo mbaya!!?