- Thread starter
- #81
Siku hiyo hiyo ukapigwe pumb.u vizuri
MmhSiku hiyo hiyo ukapigwe pumb.u vizuri
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Siku hiyo hiyo ukapigwe pumb.u vizuri
MmhSiku hiyo hiyo ukapigwe pumb.u vizuri
DuuhSiku hiyo hiyo
Kwani kuna mahari nimezungumza kuzini mkuuKwanza kwanini mziniiiiiii alafu ndo mpelekane mahome.
😃😃😃 Mimi siwezi acha nguo kwa mwanaume never.. ukutane na limwanaume halijatulia ni kuingiza wadada tu wakiniroga je kupitia nguo nilizoachaa jeIt depend kuna mtu unamuona uyu kwa jinsi alivyo akipajua kwangu atanisumbua sana
Ni kukutan nae CBD
Kuna mtu unakutan nae anajikuta mtakatifu inabidi unajipa muda ili umchunguze uone kabla y kumleta kwako
Kuna mwngine amenyooka na unaona potential kwake yeye ni siku hiyoiyo inabidi apajue nyumban .
Ila usi judge sana huenda gheto alijakaa sawa jiko kitanda viko sehemu moja mtu analala amesimama au mazingir anapoishi hayaridhishi.
Tatizo mkipajua ndo mnaleta wife duty mara uanze kutaka kuamia , kulipa kodi. unaanza kuacha nguo zko kam pichu eti kulinda territory utazani umechangia Ujenzi
Ooh kumbeNdio ni upendo. Ila pia kama hajakuonesha kwake haimaanishi hakupendi, inawezekana anafanya maamuzi slow slowly.
Uwezi kusema ni mahusiano seriously na ndio kwanza mna mwezi angalau baada ya miezi3 maana maigizo kwa asilimia 69 huwa yanapunguaUnaogopa nini kumuomba mpenz wako akupeleke kwake au anapoishi?
Shida nini, haujiamini au.
Unadate vp au unakuwa vp na mahusiano serious na mtu na hamjuani mnapokaa?
KupajuaNyumbani kufanya nini..??? Si tunakulana inatoshaaa
Ooh sauwaaNdugu yangu ki ukweli mapenzi hayana muongozo hata kidogo kama nilivyokwambia inawezekana hamjuani kabisa na ukaletwa ndani day one au mnajuana kabisa tena vizuri TU na bado ukachukua miezi hata 6 kuletwa ndani
We endana nayo yanavyokuja hayana muongozo
kwaiyo iyo mbususu unampea Gest kila siku auKama mnavojua tunakutana tukiwa watu wazima tuliokulia mazingira tofauti..
kabila tofauti mikoa tofauti, hivyo hatujuani wala kufahamiana tunaanzisha tu mahusiano
Natamani kujua ni kwa muda gani mkishakuwa na mahusiano mwanaume anapaswa kukupeleka nyumbani kwake anapoishi ili upajue
Na je Kuna ubaya wowote kama utamwambia akupeleke nyumbani kwake upajue hata kama mna mwezi mmoja wa mahusiano
Wengine wamekuwa wakidate na watu ambao hawajawai kufahamu muhusika anapoishi
Napenda kujua hili especially kwa wanaume ni kwa muda gani mnapeleka wanawake kwenye hizo ghetto zenu
Siku hiyo hiyo mkikubalina kuwa wapenziKama mnavojua tunakutana tukiwa watu wazima tuliokulia mazingira tofauti..
kabila tofauti mikoa tofauti, hivyo hatujuani wala kufahamiana tunaanzisha tu mahusiano
Natamani kujua ni kwa muda gani mkishakuwa na mahusiano mwanaume anapaswa kukupeleka nyumbani kwake anapoishi ili upajue
Na je Kuna ubaya wowote kama utamwambia akupeleke nyumbani kwake upajue hata kama mna mwezi mmoja wa mahusiano
Wengine wamekuwa wakidate na watu ambao hawajawai kufahamu muhusika anapoishi
Napenda kujua hili especially kwa wanaume ni kwa muda gani mnapeleka wanawake kwenye hizo ghetto zenu
Umetisha sanaSiku hiyo hiyo mkikubalina kuwa wapenzi
Kwani kuna shido mkuukwaiyo iyo mbususu unampea Gest kila siku au
Kama nitahisi nitakua salama mikononi mwake hata siku hiyo hiyo nampeleka geto!neno mikononi mwake Lina maana pana sana!!!Kama mnavojua tunakutana tukiwa watu wazima tuliokulia mazingira tofauti..
kabila tofauti mikoa tofauti, hivyo hatujuani wala kufahamiana tunaanzisha tu mahusiano
Natamani kujua ni kwa muda gani mkishakuwa na mahusiano mwanaume anapaswa kukupeleka nyumbani kwake anapoishi ili upajue
Na je Kuna ubaya wowote kama utamwambia akupeleke nyumbani kwake upajue hata kama mna mwezi mmoja wa mahusiano
Wengine wamekuwa wakidate na watu ambao hawajawai kufahamu muhusika anapoishi
Napenda kujua hili especially kwa wanaume ni kwa muda gani mnapeleka wanawake kwenye hizo ghetto zenu
Eeh kama haujaingia kwenye mahusiano na jambazi.. kwanini iwe ngumu banaa 😅😅 aje tu hata na begi.. tuanze na maisha hakuna haja kupotezea mdaUmetisha sana
Sawa mkuuEeh kama haujaingia kwenye mahusiano na jambazi.. kwanini iwe ngumu banaa 😅😅 aje tu hata na begi.. tuanze na maisha hakuna haja kupotezea mda
Sawa mkuu acha tuone panapovujaKama nitahisi nitakua salama mikononi mwake hata siku hiyo hiyo nampeleka geto!neno mikononi mwake Lina maana pana sana!!!
Ukiona anasita ujue Bado hujafikia viwango fulani labda ufosi tu!!
Hakuno ShidoKwani kuna shido mkuu
Sisi wanaume tunaogopa sana kuoa asikwambie mtu!nani anapenda ghafula kuwa na familia tatu za kuhudumia!!?yaani familia yake,kwao na kwenu!!?Sawa mkuu acha tuone panapovuja