realMamy
JF-Expert Member
- Apr 28, 2024
- 3,925
- 8,853
Hivi producer wake alikua ni nani 😅😅😅Be grateful hujaogea sabuni ya Eva😁
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hivi producer wake alikua ni nani 😅😅😅Be grateful hujaogea sabuni ya Eva😁
Kama sio MSD basi USAID. Maana watu wa Guest wanamlalamikia Trump bidhaa hazipatikan😁Hivi producer wake alikua ni nani 😅😅😅
Akisitisha na mipira itakua kwisha kazi 😅 zilizopo zitatunzwa na moja itatumiwa na watu watatu. Yaani itachemshwa 😜Kama sio MSD basi USAID. Maana watu wa Guest wanamlalamikia Trump bidhaa hazipatikan😁
Hujawahi ibiwaUkikubali tuu unatakiwa ukalambwe kwake
Hvi binadamu unawajua wewe! Utaskia chukua yangu nilitumia juzi haijachafuka sana.Akisitisha na mipira itakua kwisha kazi 😅 zilizopo zitatunzwa na moja itatumiwa na watu watatu. Yaani itachemshwa 😜
Au Vifungashio laini vitaadimika? 😅vya nusu kiloHvi binadamu unawajua wewe! Utaskia chukua yangu nilitumia juzi haijachafuka sana.
Ndo utajua soksi hazikutengenezwa kuvaliwa tu miguuni😁
Ila ndugu yangu realMamy iyo tabia yko sijaipenda. Juzi nakukaribisha kiroho safi ukapajue kwangu. Umefika kumbe ndo ulikuja kunichunguza.Au Vifungashio laini vitaadimika? 😅vya nusu kilo
Na kapeti lako la plastic 😜la DraftIla ndugu yangu realMamy iyo tabia yko sijaipenda. Juzi nakukaribisha kiroho safi ukapajue kwangu. Umefika kumbe ndo ulikuja kunichunguza.
Wewe sio wa kuwaambia mashosti zako eti bora ningejifunika Tenga sio kwa neti yangu kutoboka hivyo. Eti shuka zangu sifui zimekua ngumu mpaka zinasimama
😁😁
Siku hiyo hiyoKama mnavojua tunakutana tukiwa watu wazima tuliokulia mazingira tofauti..
kabila tofauti mikoa tofauti, hivyo hatujuani wala kufahamiana tunaanzisha tu mahusiano
Natamani kujua ni kwa muda gani mkishakuwa na mahusiano mwanaume anapaswa kukupeleka nyumbani kwake anapoishi ili upajue
Na je Kuna ubaya wowote kama utamwambia akupeleke nyumbani kwake upajue hata kama mna mwezi mmoja wa mahusiano
Wengine wamekuwa wakidate na watu ambao hawajawai kufahamu muhusika anapoishi
Napenda kujua hili especially kwa wanaume ni kwa muda gani mnapeleka wanawake kwenye hizo ghetto zenu
Sasa mbona ukatangaz eti ni jamviNa kapeti lako la plastic 😜la Draft
Hasa kama unataka kukwepa gharama za gesti 😂Siku hiyo hiyo
Unaweza kuoga choo cha nje wewe?Kama mnavojua tunakutana tukiwa watu wazima tuliokulia mazingira tofauti..
kabila tofauti mikoa tofauti, hivyo hatujuani wala kufahamiana tunaanzisha tu mahusiano
Natamani kujua ni kwa muda gani mkishakuwa na mahusiano mwanaume anapaswa kukupeleka nyumbani kwake anapoishi ili upajue
Na je Kuna ubaya wowote kama utamwambia akupeleke nyumbani kwake upajue hata kama mna mwezi mmoja wa mahusiano
Wengine wamekuwa wakidate na watu ambao hawajawai kufahamu muhusika anapoishi
Napenda kujua hili especially kwa wanaume ni kwa muda gani mnapeleka wanawake kwenye hizo ghetto zenu
Umejuaje?Unafiki tu
Ni kwa muda gani unapaswa ufahamu mahali anaishi mpnz wakoMapenzi ya kutofahamu mwenzako anapoishi ni umalaya tu.
Hahaha nchi ina vijana wa hovyo sana hii..nimechekaaKama bado hajakupeleka kuna kitu anaficha.
Mimi ilikuwa kama unachura siku hiyo hiyo unaingia kwangu.
😄😄 daaah umenikumbusha Kuna Kijana kapanga zile nyumba za ndani yaani mwenye nyumba yupo humohumo kwaiyo kupewa chumba nahisi kilikuwa cha watoto halafu Kijana wa mwenye nyumba ni bubu halafu choo cha nnje🤣 tuishie hapa maana story inachekeshaa mnoUnaweza kuoga choo cha nje wewe?