Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Na wale wa kupelekwa hotelUkikubali tuu unatakiwa ukalambwe kwake
Nlivoona hii picha(avatar yangu) nlishtuka sana
How is thatKama mifuko imejaa zaidi ya ATM,
Na tupo high zaidi ya KLM,
Na tunakesha kama CNN
Unaachwa dukani "mara Moja"Tena kwa jirani
Ooh kumbeInategemea anakuchukuliaje?
Je mwanamke akiomba apelekwe kwa mwanaume inafaaHayana formula au muongozo haya mambo ,Mm naona mkiona mmeaminiana MDA wowote Tu onehsaneni
Kumpeleka mtu kwako si jambo dogo lazima ujiridhishe sana ukiona umewahi kupelekwa basi hapo ni "gheto" huenda ukitoka wewe anaingia mwingineMwaka na nusu seriously 😳
Mmh Hapana mbali sanaMiaka 2
Unakuta mtu ana miaka 45 lakini anakupeleka kwenye gheto la kijana wa miaka 22 lina Sabufa ya kumulika mulika anajifanya lake.Unaachwa dukani "mara Moja"
Kumbe… sasa kwako si nimemaanisha mahali anapoishi mwanaume au wewe umenielewaje hapoKumpeleka mtu kwako si jambo dogo lazima ujiridhishe sana ukiona umewahi kupelekwa basi hapo ni "gheto" huenda ukitoka wewe anaingia mwingine
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 mtu asiwe na sabufa la kumulikamulika jmnUnakuta mtu ana miaka 45 lakini anakupeleka kwenye gheto la kijana wa miaka 22 lina Sabufa ya kumulika mulika anajifanya lake.
Hiyo getto yako ushapeleka wangapii mkuuInategemeana mda wa uchunguzi kukamilika,
Wanawake ni kama mabomu na yametofautiana tabia zake
Kama mnavojua tunakutana tukiwa watu wazima tuliokulia mazingira tofauti..
kabila tofauti mikoa tofauti, hivyo hatujuani wala kufahamiana tunaanzisha tu mahusiano
Natamani kujua ni kwa muda gani mkishakuwa na mahusiano mwanaume anapaswa kukupeleka nyumbani kwake anapoishi ili upajue
Na je Kuna ubaya wowote kama utamwambia akupeleke nyumbani kwake upajue hata kama mna mwezi mmoja wa mahusiano
Wengine wamekuwa wakidate na watu ambao hawajawai kufahamu muhusika anapoishi
Napenda kujua hili especially kwa wanaume ni kwa muda gani mnapeleka wanawake kwenye hizo ghetto zenu
Ooh kumbeHata kabla ya mahusiano inatakiwa upajue,yani muwe marafiki hata kabla ya kuingizana.
Unafiki tuMiaka 89.
Duuh hizo cost za kukutana hotel mara kwa mara jeMiezi 12 inatosha kumuamini mwanamke na kumpeleka nyumbani.
😅😅😅🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 mtu asiwe na sabufa la kumulikamulika jmn
Anyway niseme unaweza kupelekwa hata siku ya kwanza inategemeana na mazingira maana what if kama mmepanga nyumba Moja au mko mtaa mmoja na unapajua kwake si unaweza hata ku "surpriiiiiiiise"Kumbe… sasa kwako si nimemaanisha mahali anapoishi mwanaume au wewe umenielewaje hapo