Ni muda gani inapaswa mwanaume akupeleke kwake baada ya kuanza naye mahusiano?

Day one tu, as long as anatoa mzigo
 
Ukiona mwanaume hajakupeleka kwake Kwa muda hata wa miezi 3 jua huna SIFA ya kuwa mke! Maana kama mnaweza kufanya mapenzi walau mara 3 Kwa wiki huko lodge jiulize mtakuwa mnatumia shs ngapi Kwa mwezi iwapo tuchukulie minimum lodge ni shs 20,000/ Bado Kuna kula na expenses nyingine wakati geto lipo wazi kabisa take care
 
Ooh sawq
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…