Ni muda muafaka kwa Songoro Marine kupewa tenda ya kuunda nyambizi

Ni muda muafaka kwa Songoro Marine kupewa tenda ya kuunda nyambizi

Nani kakuambia nyambizi zote zinatumia nuclear [emoji23][emoji23][emoji23]hiyo technology ya nuclear katika MV ni nchi chache sana zinazo.
Zote ninazozijua mimi ni za Nuclear, alafu Nuclear sio diesel kwamba inaisha leo ,nyingi hudumu miaka 10 hivo basi wananunua kutoka mataifa yenye nazo Mkuu
 
Ni kweli tuwe na nyambizi maana hata dully sykes alimpenda nyambizi na akafanikiwa kuwa nae.

Sasa taifa tukipata nyambizi kama wa duli, muchinga tutapigaje kwa zamu zamu au!? 😂 😂
 
Back
Top Bottom