Von Bismarck
JF-Expert Member
- Jul 11, 2018
- 3,890
- 8,647
Songoro yupo vizuri. Sema kuunda nyambizi kunahitaji resources nyingi sana..
Ila akiweka nia inawezekana
Ila akiweka nia inawezekana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
narudia kukuambia nuclaer technology wanazo nchi chache sana hata kuweka kwenye meli au nyambizi ni technolojia ya juu kuliko kulitengeneza bom la nuclear.Zote ninazozijua mimi ni za Nuclear, alafu Nuclear sio diesel kwamba inaisha leo ,nyingi hudumu miaka 10 hivo basi wananunua kutoka mataifa yenye nazo Mkuu
Bwashee unaweza kutoa ushahidi wa kitaalam kuhusu hii kauli yako? Au ndiyo porojo za kikamanda tu?!Meli alizotengeneza ziwa nyasa ukija hata upepo wa feni zinapinduka !
Kama Akili tu hatuna hiyo Nyambizi tutaiunda kweli vile ambavyo inatakiwa?Ni vyema tukawa na nyambizi moja au mbili hivi zilizoundwa Tanzania.
Naijua sana ndiyo maana nakushangaa na ushauri wako huu wa kikomediwewe unaijua?
Matrector kwakza nyambizi mchezoDah, nimecheka nilivyosoma tu hii post, wabongo some time tuwe Sirius.
African mentality hizi kwamba mwanzilishi wa kampuni akifa na kampuni inakufa?Songoro si alishakufa..
Na ndilo lilimpa shinikizo la damu la ghafla kutakiwa kujielezaMeli alizotengeneza ziwa nyasa ukija hata upepo wa feni zinapinduka !
Ni porojo tu za kilevi na ujinga uliokithiri. Mara ngapi tunaona nchi zenye teknolojia zikijaribu vyombo na kufeli, lkn Mwaafrika haoni kama trial and error kujifunza. Upuuzi kabisa, bora tuuawe tu waafrika wabaki waupe ambao tunawaona kama miungu.Bwashee unaweza kutoa ushahidi wa kitaalam kuhusu hii kauli yako? Au ndiyo porojo za kikamanda tu?!