Kodi za wanachi zinafanya kazi.Nilikua nadhani ni kwenye majiji makubwa tu ila tuwe wakweli picha ya rais Samia ipo kwenye mabango karibu nchi nzima tena sehemu karibu zote potential kibiashara
Kuna mahali nilikua na kakibanda tena ndanindani sio hata main road, njia Haina hata lami walikuja TRA wakanipigia hesabu laki 3 kwa mwaka tukashindwana ikabidi nilitoe lile bango, sasa TRA mje mtueleze hayo mabango nchi nzima nani analipia kama ni chama,serikali, au watu binafsi na yanaingiza pesa kiasi Gani?
Jibu swali la mtoa mada kama wewe ni TRA...Kodi za wanachi zinafanya kazi.
Uchochezi Kwa maana gani? Kwamba kuuliza hayo mabango nani anayalipia na yanarudisha vipi pesa? Maana tunafahamu mtu akiweka bango la biashara ili kufikia wateja wengi na hivyo ndivyo pesa hurudiUchocheziii.
Watanzania tushakua kama makondoo, mtu nauliza swali basic tu mtu anajibu uchochezi, tumerudi enzi za utumwa sasa huku tukitawaliwa na weusi wenzetuUchochezi Kwa maana gani? Kwamba kuuliza hayo mabango nani anayalipia na yanarudisha vipi pesa? Maana tunafahamu mtu akiweka bango la biashara ili kufikia wateja wengi na hivyo ndivyo pesa hurudi
Haya yale mabango yanauza nini pale na pesa zinatoka wapi?
nadhani yeyote yule yuko huru kuweka mabango popote nchini ikiwa anaona inafaa, na ikiwa atapata idhini ya mamlaka husika kwenye eneo husika....Nilikua nadhani ni kwenye majiji makubwa tu ila tuwe wakweli picha ya rais Samia ipo kwenye mabango karibu nchi nzima tena sehemu karibu zote potential kibiashara
Kuna mahali nilikua na kakibanda tena ndanindani sio hata main road, njia Haina hata lami walikuja TRA wakanipigia hesabu laki 3 kwa mwaka tukashindwana ikabidi nilitoe lile bango, sasa TRA mje mtueleze hayo mabango nchi nzima nani analipia kama ni chama, serikali, au watu binafsi na yanaingiza pesa kiasi Gani?
π humu huwezi pata majibu mkuu labda uende TIARAEIHata kwa mwendazake mambo ambayo tulikua hatuelewi tulihoji pia, ni Haki yetu kupata majibu