Ni muda muafaka uvaaji wa barakoa uwe jambo la lazima kwenye umma

Ni muda muafaka uvaaji wa barakoa uwe jambo la lazima kwenye umma

Watu huangamia kwa kukosa maarifa, lakini watu huangamia kwa upumbavu wao au kiburi chao.

Sisi kama Taifa na dunia kiujumla tunalo la kujifunza kutoka Uchina na nchi za Asia, kulekule ambapo ugonjwa wa Korona ulianzia! Wao waliweka sheria ya lazima kuvaa mask ukitoka nje na hiyo sheria ilikuwa very strict. Na kwa kweli hii ilielekea kuona rate ya maambukizi ikipungua siku baada ya siku mpaka wakawa katika hali inayoridhisa.

Wazungu walicheza makidamakida kwenye ishu ya barakoa, mwanzoni wakawa na mchezo wa "vaa usivae", wakaleta habari zao za "uhuru wa mtu binafsi" lakini sasa korona ilivyokuja kuwatandika kisawasawa ndo wanakumbuka kufanya uvaaji wa barakoa kuwa kitu cha lazima!, Tunaona eti madakatari wao wanashauri watu wavae barakoa doubledouble. Walikumbuka shuka asubuhi.

Sasa sisi kama Taifa hatuna luxury ya kuacha anayetaka avae na asiyetaka asivae.

Hatuna option kwa sababu:

1. Uhai wa mtu mmoja siyo mali yake peke yake ni mali ya Taifa, ndiyo maana kutaka kujiua ni kosa la jinai

2. Pili kuvaa barakoa hakumnusuru mvaaji asiambukizwe bali kunawanusuru wengine pia ambao huebda wangeamvukizwa na mvaa barakoa kama ana huo ugonjwa.

3. Gharama za kupoteza mwabanchi mmoja na kwa Taifa zima ni kubwa, maana unakuta mtu ndo mlisha familia, mlipa kodi kwa serikali, daktari, mwalimu, injinia, Lecturer, mhasibu etc. Ni ujinga kutoona madhara kwa nchi kutokana na vifo vya mtu mmoja mmoja

Sasa huu siyo muda muafaka wa serikali kuendelea na approach zake za kusuasua, au za "hayanihusu kila mtu apambane na hali yake", Ni lazma serikali itimize wajibu wake wa kikatiba wa kulinda uhai wa wananchi.

Chombo kuitwa serikali maana yake ni chombo cha nguvu kwa ajili ya common good. Nchi haiwi na wanajeshi, polisi, mgambo na usalama kwa ajili ya kuweka gwaride zuri tu kwa ajili ya mtawala, baki hivi ni vyombo vya kulinda uhuru, mali na uhai wa wananchi pindi vikiwa called ob duty. Kwa hiyo kupitia vyombo hivi kwa kushirikiana na wananchi suala la kufanya uvaaji wa barakoa kuwa ni jambo la lazima linawezekana na ndiyo njia sahihi kwa sasa ili kuzuia usambaaji wa kirusi kama moto wa kiangazi.

Raisi Magufuli akumbuke tu kuwa pale alipoapishwa, alipewa ngao na mkuki, ile ngao siyo urembo, ile ni ishara kuwa ni lazima atumie uwezo wake wote kuhakikisha analilinda taifa dhidi ya hatari yoyote inayotishia maisha ya watu wake.

Hii approach ya Rais Magufuli kupigana vita ya Korona kwa shingo upande ni staili ya upiganaji legelege na ni aibu kwa kiongozi aliyeapa kulinda katiba inayotamka kuhusu haki ya kuishi kuwa legelege kwenye kulinda uhai wa watu wake.

Viongozi wa Magufuli hawaishi kwa mfano kwenye vita hii, na kwa tabia zao za kutovaa barakoa, kutoweka social distance, kuzungumiza uwepo wa korona kwa kudonyoadonyoa, kutopiga kampeni ya kuelimisha umma juu ya hatari hii kama jinsi tulivyowahi kuona kampeni mbalimbali za kitaifa zikifanywa ni aibu kubwa.

Just Imagine kuna kipindi serikali ilikuwa ikinenga awareness kubwa juu ya ugonjwa wa Tezi Dume, Mabusha etc lakini serikali hiyohiyo haitaki kuendesha kampeni kubwa kwenye vyombo vya habari vya kuelimisha umma juu ya hatari ya gonjwa hili linavyoua.

Yaani laiti muda ambao TBC wanautumia kumsifu Magufuli ungekuwa unatumika kujenga public awareness ya ugo jwa huu hakika tungeupiga vita vizuri zaidi.

Sasa Serikali iachane na denial, na iache uyageuza maisha ya watanzania sinema.
Una scientific proof kuwa barakoa zinazuia virusi? Nafikiri hujajifunza toka mataifa ya wenzetu.

Nimeandika sana hili, lakini niandike tena angalau kwa ufupi sana:
1. Ukiacha barakoa zile za maabara na mahospitali zilizoundwa maalum kuzuia virusi hakuna utafiti unaonesha hizi tunazotumia mtaani ambazo hazikuundwa kuzuia virusi kama SARS COV2 zinazuia virusi. Hizo za kuzuia virusi ni ghali na kama mnataka watu wavae gaweni bure.

2. Corona ina mortality rate ndogo sana ukiangalia statistics zilizopo. Kuna magonjwa yanaua zaidi ya Covid na hatukuwahi kuwa na mandate. Mara zote tumefundishwa na kushauriwa kupambana na malaria. Hatujawahi kulazimishwa kununua neti. Inapobidi neti hutolewa bure na bado hulazimishwi kuifunga.

Iweje leo Corona yenye mortality rate ndogo tuanze kuwatisha watu na mask mandate? Utaratibu mzuri ni kuwaelimisha watu namna gani barakoa inazuia na kuwapa bure. Sio kuwatisha na kuwalazimisha.

Mwisho niseme tu nawashauri mnaopenda na kuona barakoa ni mkombozi msigeuke Gestapo wa Hitler. Kama barakoa inazuia virusi hamna tatizo, vaa na utakuwa salama. Asiyevaa achana nae, ni mtu mzima ana akili timamu huyo.

Ukiona unadhani hana elimu jaribu kumuelimisha. Kiufupi anayevaa barakoa amheshimu asiyevaa. Vivyo hivyo asiyevaa barakoa amheshimu anayevaa. Mmoja asijaribu kuingilia uhuru wa mwingine wala kugeuka askari wa Hitler kuwa terrorize wasiokubaliana na upande wake.

Mask mandate is new dictatorship. It should be avoided and fought at all levels. We are grownup humans not sheeps or pigs!
 
Kuvaa barakoa inaokoa kiasi flani usipate maambukizi ya magonjwa kwa njia ya upumuaji hasa maeneo yenye hali ya hewa isiyo na joto kama Arusha, Mbeya, Iringa nk. Lakini kwa maeneo ambayo hali yake ya hewa ni joto kali kama mikoa ya Dsm na Pwani uvaaji wa barakoa katika mikoa hiyo kwa muda mrefu pia ni hatari sana kwa afya, kwa sababu unaweza ukawa kwenye kazi zako huku jua linakupiga mara unaanza kusinzia sinzia kwa sababu hewa ni ndogo kinachofuata ni kuanguka chini ukazimia au ukafa kabisa.
Una reference yoyote ya kisayansi kuonyesha barakoa zinazuia ukiacha zile za maabara zilizotengenezwa maalum kuziia virusi?

Wengi naona huwa tunachukulia zile picha tunazosambaziana kwenye mitandao ya kijamii kama proof. Zile ni picha hata mimi naweza tengeneza. Utafiti wa kisayansi upo unao sapoti notion hii?

Maana ukiangalia diameter ya virus na diameter ya matundu ya barakoa zetu, unajiuliza akitua pale juu nikivuta hewa si namvuta anaingia? Barakoa zinazuiaje?
 
Una scientific proof kuwa barakoa zinazuia virusi? Nafikiri hujajifunza toka mataifa ya wenzetu.

Nimeandika sana hili, lakini niandike tena angalau kwa ufupi sana:
1. Ukiacha barakoa zile za maabara na mahospitali zilizoundwa maalum kuzuia virusi hakuna utafiti unaonesha hizi tunazotumia mtaani ambazo hazikuundwa kuzuia virusi kama SARS COV2 zinazuia virusi. Hizo za kuzuia virusi ni ghali na kama mnataka watu wavae gaweni bure.

2. Corona ina mortality rate ndogo sana ukiangalia statistics zilizopo. Kuna magonjwa yanaua zaidi ya Covid na hatukuwahi kuwa na mandate. Mara zote tumefundishwa na kushauriwa kupambana na malaria. Hatujawahi kulazimishwa kununua neti. Inapobidi neti hutolewa bure na bado hulazimishwi kuifunga.

Iweje leo Corona yenye mortality rate ndogo tuanze kuwatisha watu na mask mandate? Utaratibu mzuri ni kuwaelimisha watu namna gani barakoa inazuia na kuwapa bure. Sio kuwatisha na kuwalazimisha.

Mwisho niseme tu nawashauri mnaopenda na kuona barakoa ni mkombozi msigeuke Gestapo wa Hitler. Kama barakoa inazuia virusi hamna tatizo, vaa na utakuwa salama. Asiyevaa achana nae, ni mtu mzima ana akili timamu huyo.

Ukiona unadhani hana elimu jaribu kumuelimisha. Kiufupi anayevaa barakoa amheshimu asiyevaa. Vivyo hivyo asiyevaa barakoa amheshimu anayevaa. Mmoja asijaribu kuingilia uhuru wa mwingine wala kugeuka askari wa Hitler kuwa terrorize wasiokubaliana na upande wake.

Mask mandate is new dictatorship. It should be avoided and fought at all levels. We are grownup humans not sheeps or pigs!
Upo utafiti unaoonyesha barakoa hata hizi za vitambaa zinasaidia kwa kiasi kikubwaa kuzuia kusambaa kwa virusi vya korona
 

Attachments

Watu huangamia kwa kukosa maarifa, lakini watu huangamia kwa upumbavu wao au kiburi chao.

Sisi kama Taifa na dunia kiujumla tunalo la kujifunza kutoka Uchina na nchi za Asia, kulekule ambapo ugonjwa wa Korona ulianzia! Wao waliweka sheria ya lazima kuvaa mask ukitoka nje na hiyo sheria ilikuwa very strict. Na kwa kweli hii ilielekea kuona rate ya maambukizi ikipungua siku baada ya siku mpaka wakawa katika hali inayoridhisa.

Wazungu walicheza makidamakida kwenye ishu ya barakoa, mwanzoni wakawa na mchezo wa "vaa usivae", wakaleta habari zao za "uhuru wa mtu binafsi" lakini sasa korona ilivyokuja kuwatandika kisawasawa ndo wanakumbuka kufanya uvaaji wa barakoa kuwa kitu cha lazima!, Tunaona eti madakatari wao wanashauri watu wavae barakoa doubledouble. Walikumbuka shuka asubuhi.

Sasa sisi kama Taifa hatuna luxury ya kuacha anayetaka avae na asiyetaka asivae.

Hatuna option kwa sababu:

1. Uhai wa mtu mmoja siyo mali yake peke yake ni mali ya Taifa, ndiyo maana kutaka kujiua ni kosa la jinai

2. Pili kuvaa barakoa hakumnusuru mvaaji asiambukizwe bali kunawanusuru wengine pia ambao huebda wangeamvukizwa na mvaa barakoa kama ana huo ugonjwa.

3. Gharama za kupoteza mwabanchi mmoja na kwa Taifa zima ni kubwa, maana unakuta mtu ndo mlisha familia, mlipa kodi kwa serikali, daktari, mwalimu, injinia, Lecturer, mhasibu etc. Ni ujinga kutoona madhara kwa nchi kutokana na vifo vya mtu mmoja mmoja

Sasa huu siyo muda muafaka wa serikali kuendelea na approach zake za kusuasua, au za "hayanihusu kila mtu apambane na hali yake", Ni lazma serikali itimize wajibu wake wa kikatiba wa kulinda uhai wa wananchi.

Chombo kuitwa serikali maana yake ni chombo cha nguvu kwa ajili ya common good. Nchi haiwi na wanajeshi, polisi, mgambo na usalama kwa ajili ya kuweka gwaride zuri tu kwa ajili ya mtawala, baki hivi ni vyombo vya kulinda uhuru, mali na uhai wa wananchi pindi vikiwa called ob duty. Kwa hiyo kupitia vyombo hivi kwa kushirikiana na wananchi suala la kufanya uvaaji wa barakoa kuwa ni jambo la lazima linawezekana na ndiyo njia sahihi kwa sasa ili kuzuia usambaaji wa kirusi kama moto wa kiangazi.

Raisi Magufuli akumbuke tu kuwa pale alipoapishwa, alipewa ngao na mkuki, ile ngao siyo urembo, ile ni ishara kuwa ni lazima atumie uwezo wake wote kuhakikisha analilinda taifa dhidi ya hatari yoyote inayotishia maisha ya watu wake.

Hii approach ya Rais Magufuli kupigana vita ya Korona kwa shingo upande ni staili ya upiganaji legelege na ni aibu kwa kiongozi aliyeapa kulinda katiba inayotamka kuhusu haki ya kuishi kuwa legelege kwenye kulinda uhai wa watu wake.

Viongozi wa Magufuli hawaishi kwa mfano kwenye vita hii, na kwa tabia zao za kutovaa barakoa, kutoweka social distance, kuzungumiza uwepo wa korona kwa kudonyoadonyoa, kutopiga kampeni ya kuelimisha umma juu ya hatari hii kama jinsi tulivyowahi kuona kampeni mbalimbali za kitaifa zikifanywa ni aibu kubwa.

Just Imagine kuna kipindi serikali ilikuwa ikinenga awareness kubwa juu ya ugonjwa wa Tezi Dume, Mabusha etc lakini serikali hiyohiyo haitaki kuendesha kampeni kubwa kwenye vyombo vya habari vya kuelimisha umma juu ya hatari ya gonjwa hili linavyoua.

Yaani laiti muda ambao TBC wanautumia kumsifu Magufuli ungekuwa unatumika kujenga public awareness ya ugo jwa huu hakika tungeupiga vita vizuri zaidi.

Sasa Serikali iachane na denial, na iache uyageuza maisha ya watanzania sinema.
Kuongezea; barakoa zenyewe ziwe za kushona, sio hizi zinazotumiwa na madaktari wakati wa upasuaji.

Vv
 

Download hiyo paper usome, au isome hapa jf nimekuwekea pdf yake
"The objective of this study was to investigate whether cotton mask worn by respiratory infection person could suppress respiratory droplet levels compared to medical mask"

Hili sidhani kama kuna anayepinga. Naulizia tafiti za barakoa kuzuia virusi na sio comparison ya aina ya barakoa ambao Hili andiko limetafiti
 
Watu huangamia kwa kukosa maarifa, lakini watu huangamia kwa upumbavu wao au kiburi chao.

Sisi kama Taifa na dunia kiujumla tunalo la kujifunza kutoka Uchina na nchi za Asia, kulekule ambapo ugonjwa wa Korona ulianzia! Wao waliweka sheria ya lazima kuvaa mask ukitoka nje na hiyo sheria ilikuwa very strict. Na kwa kweli hii ilielekea kuona rate ya maambukizi ikipungua siku baada ya siku mpaka wakawa katika hali inayoridhisa.

Wazungu walicheza makidamakida kwenye ishu ya barakoa, mwanzoni wakawa na mchezo wa "vaa usivae", wakaleta habari zao za "uhuru wa mtu binafsi" lakini sasa korona ilivyokuja kuwatandika kisawasawa ndo wanakumbuka kufanya uvaaji wa barakoa kuwa kitu cha lazima!, Tunaona eti madakatari wao wanashauri watu wavae barakoa doubledouble. Walikumbuka shuka asubuhi.

Sasa sisi kama Taifa hatuna luxury ya kuacha anayetaka avae na asiyetaka asivae.

Hatuna option kwa sababu:

1. Uhai wa mtu mmoja siyo mali yake peke yake ni mali ya Taifa, ndiyo maana kutaka kujiua ni kosa la jinai

2. Pili kuvaa barakoa hakumnusuru mvaaji asiambukizwe bali kunawanusuru wengine pia ambao huebda wangeamvukizwa na mvaa barakoa kama ana huo ugonjwa.

3. Gharama za kupoteza mwabanchi mmoja na kwa Taifa zima ni kubwa, maana unakuta mtu ndo mlisha familia, mlipa kodi kwa serikali, daktari, mwalimu, injinia, Lecturer, mhasibu etc. Ni ujinga kutoona madhara kwa nchi kutokana na vifo vya mtu mmoja mmoja

Sasa huu siyo muda muafaka wa serikali kuendelea na approach zake za kusuasua, au za "hayanihusu kila mtu apambane na hali yake", Ni lazma serikali itimize wajibu wake wa kikatiba wa kulinda uhai wa wananchi.

Chombo kuitwa serikali maana yake ni chombo cha nguvu kwa ajili ya common good. Nchi haiwi na wanajeshi, polisi, mgambo na usalama kwa ajili ya kuweka gwaride zuri tu kwa ajili ya mtawala, baki hivi ni vyombo vya kulinda uhuru, mali na uhai wa wananchi pindi vikiwa called ob duty. Kwa hiyo kupitia vyombo hivi kwa kushirikiana na wananchi suala la kufanya uvaaji wa barakoa kuwa ni jambo la lazima linawezekana na ndiyo njia sahihi kwa sasa ili kuzuia usambaaji wa kirusi kama moto wa kiangazi.

Raisi Magufuli akumbuke tu kuwa pale alipoapishwa, alipewa ngao na mkuki, ile ngao siyo urembo, ile ni ishara kuwa ni lazima atumie uwezo wake wote kuhakikisha analilinda taifa dhidi ya hatari yoyote inayotishia maisha ya watu wake.

Hii approach ya Rais Magufuli kupigana vita ya Korona kwa shingo upande ni staili ya upiganaji legelege na ni aibu kwa kiongozi aliyeapa kulinda katiba inayotamka kuhusu haki ya kuishi kuwa legelege kwenye kulinda uhai wa watu wake.

Viongozi wa Magufuli hawaishi kwa mfano kwenye vita hii, na kwa tabia zao za kutovaa barakoa, kutoweka social distance, kuzungumiza uwepo wa korona kwa kudonyoadonyoa, kutopiga kampeni ya kuelimisha umma juu ya hatari hii kama jinsi tulivyowahi kuona kampeni mbalimbali za kitaifa zikifanywa ni aibu kubwa.

Just Imagine kuna kipindi serikali ilikuwa ikinenga awareness kubwa juu ya ugonjwa wa Tezi Dume, Mabusha etc lakini serikali hiyohiyo haitaki kuendesha kampeni kubwa kwenye vyombo vya habari vya kuelimisha umma juu ya hatari ya gonjwa hili linavyoua.

Yaani laiti muda ambao TBC wanautumia kumsifu Magufuli ungekuwa unatumika kujenga public awareness ya ugo jwa huu hakika tungeupiga vita vizuri zaidi.

Sasa Serikali iachane na denial, na iache uyageuza maisha ya watanzania sinema.
UVCCM na MATAGA hawawezi kukuelewa, wao huwa wanasikilizia siku hiyo jiwe amesema nini. Leo akisema barakoa hazifai wanashangilia na kusema kuwa huyo ndiye mwanasayanso makini, kesho akisema barakoa zinakinga korona watampongeza kuwa anajali wanyonge
 
Tarizo mnakuwa selfish. Kwa kuwa wewe binafsi Corona haikudhury kwa sababu unapiga matangawizi na vitu unavyoviamini hauangalii fact kuwa wewe unaweza kuwa na virusi ukaambukiza wengine ambao vitawadhuru.

Ninaona umimi umimi umimi mwingi sana kwenye hii issue ya covid

It may not affect you but you may spread it to others if you caugh, umewahi kufikiria hilo?
Wewe si umevaa balakoa nani atakuambukiza!.kila mtu aamini chake.korona ipo ila kwenye tatizo ambalo halina ufumbuzi kila mtu ana mbadala wake anaoona unamfaa.
 
"The objective of this study was to investigate whether cotton mask worn by respiratory infection person could suppress respiratory droplet levels compared to medical mask"

Hili sidhani kama kuna anayepinga. Naulizia tafiti za barakoa kuzuia virusi na sio comparison ya aina ya barakoa ambao Hili andiko limetafiti
Umeamua kubisha for the sake ya kubisha au unachallenge objective ya study husika.

Sasa kwani hujui Covid inakuwa transmitted pia kupitia respiratory droplets (vikohozi, mate etc?)

Huoni kwenye methodology hapo walitumia pia suspected cases za watu wenye Covid kama case study?

Huoni kuwa conclusion inasema kuwa kwenye kuzuia respiratory transimisable deseases barakoa zote ziwe za vitambaa(pamba) na hizo nyingine bora zaidi zote zimekuwa effective kwenye kuzuia droplets zinazotransmit hizo desease

Au mzee ulidhani kuwa waliinclude wenye Covid kwenye study yao kama urembo tu?

Ukiwa mbishi basi umeamua kuwa mbishi but study iko clear na zipo nyingi tu za kuonyesha kuwa mask works kwenye covid
 
Wewe si umevaa balakoa nani atakuambukiza!.kila mtu aamini chake.korona ipo ila kwenye tatizo ambalo halina ufumbuzi kila mtu ana mbadala wake anaoona unamfaa.
Mimi unaweza usiniambukize kwa kuwa nimevaa, ila anaweza akaambukizwa mbishi mwingine wa kuvaa barakoa kama wewe au akaambukizwa mtoto asiyevaa barakoa atakayeenda kuambukiza wazee wake nyumbani, au akaambukizwa mtu mwingine tu asiye na uelewa mzuri wa kujikinga na Covid.

Mimi siyo selfish, siyo lazima nijilinde peke yangu, namjali hata mtu mwingine nisiyemfahamu
 
Umeamua kubisha for the sake ya kubisha au unachallenge objective ya study husika.

Sasa kwani hujui Covid inakuwa transmitted pia kupitia respiratory droplets (vikohozi, mate etc?)

Huoni kwenye methodology hapo walitumia pia suspected cases za watu wenye Covid kama case study?

Huoni kuwa conclusion inasema kuwa kwenye kuzuia respiratory transimisable deseases barakoa zote ziwe za vitambaa(pamba) na hizo nyingine bora zaidi zote zimekuwa effective kwenye kuzuia droplets zinazotransmit hizo desease

Au mzee ulidhani kuwa waliinclude wenye Covid kwenye study yao kama urembo tu?

Ukiwa mbishi basi umeamua kuwa mbishi but study iko clear na zipo nyingi tu za kuonyesha kuwa mask works kwenye covid
Hakuna haja ya kunishambulia, present facts na sio kumshambulia mtu. Kama kukushambulia personally sio kwamba uwezo sina ila ni upumbavu kufanya hivyo wakati mjadala ni kwenye facts.

Point yangu ni straight forward na sidhani kama ni ngumu kueleweka. Tunavaa barakoa ili kujikinga na Virusi vya Corona. Ili ikubalike scientifically lazima ufanyike utafitj dedicatedly ambao utakuwa conclusive kwamba barakoa zinazuia virusi vya covid na ni kwa kiasi gani.

Utafiti ulioleta ni wenye lengo la kuonesha kuwa medical mask zina effectiveness ambayo haitofautiani sana na Cotton mask. Lengo lao liko wazi upfront kwenye abstract na kuendelea.

Huu utafiti ulilenga kuondoa mashaka juu ya kutimia cotton mask badala ya medical mask. Haukulenga kuonyesha kama barakoa zinazuia virusi ama la.

Ndio nimekuomba uniletee utafiti unaoonesha barakoa ni kinga dhidi ya virusi vya Corona. Umeishia kunishambulia tu, kitu ambacho hakisaidii kitu.

Twende kisayansi japo ni jukwaa la siasa. Tuliza munkari, hakuna anayetafuta ushindi hapa. Tunatafuta ile iliyo kweli.

Wakati nasubiri utafiti nilioomba, kuna point zingine za msingi umeziruka kwenye bandiko langu la kwanza. Hebu zichungulie!
 
Watu huangamia kwa kukosa maarifa, lakini watu huangamia kwa upumbavu wao au kiburi chao.

Sisi kama Taifa na dunia kiujumla tunalo la kujifunza kutoka Uchina na nchi za Asia, kulekule ambapo ugonjwa wa Korona ulianzia! Wao waliweka sheria ya lazima kuvaa mask ukitoka nje na hiyo sheria ilikuwa very strict. Na kwa kweli hii ilielekea kuona rate ya maambukizi ikipungua siku baada ya siku mpaka wakawa katika hali inayoridhisa.

Wazungu walicheza makidamakida kwenye ishu ya barakoa, mwanzoni wakawa na mchezo wa "vaa usivae", wakaleta habari zao za "uhuru wa mtu binafsi" lakini sasa korona ilivyokuja kuwatandika kisawasawa ndo wanakumbuka kufanya uvaaji wa barakoa kuwa kitu cha lazima!, Tunaona eti madakatari wao wanashauri watu wavae barakoa doubledouble. Walikumbuka shuka asubuhi.

Sasa sisi kama Taifa hatuna luxury ya kuacha anayetaka avae na asiyetaka asivae.

Hatuna option kwa sababu:

1. Uhai wa mtu mmoja siyo mali yake peke yake ni mali ya Taifa, ndiyo maana kutaka kujiua ni kosa la jinai

2. Pili kuvaa barakoa hakumnusuru mvaaji asiambukizwe bali kunawanusuru wengine pia ambao huenda wangeambukizwa na mvaa barakoa kama ana huo ugonjwa.

3. Gharama za kupoteza mwabanchi mmoja na kwa Taifa zima ni kubwa, maana unakuta mtu ndo mlisha familia, mlipa kodi kwa serikali, daktari, mwalimu, injinia, Lecturer, mhasibu etc. Ni ujinga kutoona madhara kwa nchi kutokana na vifo vya mtu mmoja mmoja

Sasa huu siyo muda muafaka wa serikali kuendelea na approach zake za kusuasua, au za "hayanihusu kila mtu apambane na hali yake", Ni lazma serikali itimize wajibu wake wa kikatiba wa kulinda uhai wa wananchi.

Chombo kuitwa serikali maana yake ni chombo cha nguvu kwa ajili ya common good. Nchi haiwi na wanajeshi, polisi, mgambo na usalama kwa ajili ya kuweka gwaride zuri tu kwa ajili ya mtawala, baki hivi ni vyombo vya kulinda uhuru, mali na uhai wa wananchi pindi vikiwa called ob duty. Kwa hiyo kupitia vyombo hivi kwa kushirikiana na wananchi suala la kufanya uvaaji wa barakoa kuwa ni jambo la lazima linawezekana na ndiyo njia sahihi kwa sasa ili kuzuia usambaaji wa kirusi kama moto wa kiangazi.

Raisi Magufuli akumbuke tu kuwa pale alipoapishwa, alipewa ngao na mkuki, ile ngao siyo urembo, ile ni ishara kuwa ni lazima atumie uwezo wake wote kuhakikisha analilinda taifa dhidi ya hatari yoyote inayotishia maisha ya watu wake.

Hii approach ya Rais Magufuli kupigana vita ya Korona kwa shingo upande ni staili ya upiganaji legelege na ni aibu kwa kiongozi aliyeapa kulinda katiba inayotamka kuhusu haki ya kuishi kuwa legelege kwenye kulinda uhai wa watu wake.

Viongozi wa Magufuli hawaishi kwa mfano kwenye vita hii, na kwa tabia zao za kutovaa barakoa, kutoweka social distance, kuzungumiza uwepo wa korona kwa kudonyoadonyoa, kutopiga kampeni ya kuelimisha umma juu ya hatari hii kama jinsi tulivyowahi kuona kampeni mbalimbali za kitaifa zikifanywa ni aibu kubwa.

Just Imagine kuna kipindi serikali ilikuwa ikinenga awareness kubwa juu ya ugonjwa wa Tezi Dume, Mabusha etc lakini serikali hiyohiyo haitaki kuendesha kampeni kubwa kwenye vyombo vya habari vya kuelimisha umma juu ya hatari ya gonjwa hili linavyoua.

Yaani laiti muda ambao TBC wanautumia kumsifu Magufuli ungekuwa unatumika kujenga public awareness ya ugo jwa huu hakika tungeupiga vita vizuri zaidi.

Sasa Serikali iachane na denial, na iache uyageuza maisha ya watanzania sinema.
Ni bora kusisitiza watu kunawa kwa maji tiririka na sabuni kuliko hayo mavitambaa. Mdudu anaenea kupitia mikono siyo hewa. Somo hili tangu mwaka jana limesomeshwa lakini mnazidi kuatamia mbinu za kibeberu. Tumia NIMRICAF, COVIDO na NYUNGU
 
Hakuna haja ya kunishambulia, present facts na sio kumshambulia mtu. Kama kukushambulia personally sio kwamba uwezo sina ila ni upumbavu kufanya hivyo wakati mjadala ni kwenye facts.

Point yangu ni straight forward na sidhani kama ni ngumu kueleweka. Tunavaa barakoa ili kujikinga na Virusi vya Corona. Ili ikubalike scientifically lazima ufanyike utafitj dedicatedly ambao utakuwa conclusive kwamba barakoa zinazuia virusi vya covid na ni kwa kiasi gani.

Utafiti ulioleta ni wenye lengo la kuonesha kuwa medical mask zina effectiveness ambayo haitofautiani sana na Cotton mask. Lengo lao liko wazi upfront kwenye abstract na kuendelea.

Huu utafiti ulilenga kuondoa mashaka juu ya kutimia cotton mask badala ya medical mask. Haukulenga kuonyesha kama barakoa zinazuia virusi ama la.

Ndio nimekuomba uniletee utafiti unaoonesha barakoa ni kinga dhidi ya virusi vya Corona. Umeishia kunishambulia tu, kitu ambacho hakisaidii kitu.

Twende kisayansi japo ni jukwaa la siasa. Tuliza munkari, hakuna anayetafuta ushindi hapa. Tunatafuta ile iliyo kweli.

Wakati nasubiri utafiti nilioomba, kuna point zingine za msingi umeziruka kwenye bandiko langu la kwanza. Hebu zichungulie!
Findings za hiyo study inasema effectiveness ya aina zote za barakoa inashabihiana, sasa swali la msingi ni kuwa hiyo effectiveness ni effectiveness katika nini?, na significance ya hiyo effectiveness ni nini ?

majibu ya maswali yote hayo yamo katika hiyo study. yako open kabisa

Pia swali jingine ni kwenye methodoojia kwa yao kwa nini watumie pia Covid suspected cases, walitaka kuachieve nini?
 
Kila mtu ana njia yake aliyoichagua ya kudili na Covid, ki Dunia mpaka Sasa hakuna njia ya uhakika kwa 100%. Wengine tumechagua kutovaa barakoa Ila kila siku tunapiga tangawizi + limao vya Moto asubuhi na jioni na tunadunda. Ila hatuvai barakoa na maisha yanaenda. Wewe na wenzako mmechagua kuvaa barakoa ndo njia ya kisayansi mnayoiamini kwasababu mzungu kasema. Swali ni mbona sisi hatuwakomalii mpige tangawizi/limao+nyungu kama nyie mnavyotukomalia na barakoa?????... Mimi nasema kila mtu akomae na njia anazoamini zitamnusuru. Muache kulazimisha kwasababu unaamini mzungu yupo sahihi na barakoa ndo kila mtu aamini hivyo. Kama Covid ingekuwa tishio Kama mnavyoeleza wanaoudhuria kwenye viwanja vya soka tangu December 2020 wangekuwa wamekufa hata robo. Ila Mimi ni mmojawapo na nadunda tu. Msitake kila mtu afanye unachoona ni sahihi kwako. Wengine tulio wengi hatuamini hayo ma barakoa, na nature inazidi kuwaumbua. Endeleeni kuvaa barakoa Ila msilazimishe kila mtu afuate nyayo zenu.
Mkuu umenena hoja kubwa sana. Wataalamu wa kizungu wanasema tuvae barakoa ingawa wao wenyewe wanasema haijathibitika kuwa zinazuia maambukizi. Ikiwa mtu anawaunga mkono avae, hakuna anayemkataza.

Wataalamu wetu wanasema tujifukize, tupige tangawizi, vitunguu, limao, mdalasini, nk. Tunaowaamini tuachwe tufanye hayo bila kulazimishwa kufanya hayo watakayo wazungu.

Mie hapa na-type huku namalizia juice yangu ya;

Tangawizi + Limao + Asali

Halafu niko confident wala sina shaka na huo ugonjwa wao.
 
🙌🏾🙌🏾🙌🏾🙌🏾🙌🏾🙌🏾🙌🏾Kabisa Mkuu asiyevaa barakoa ni MUUAJI.
You are absolutely correct. Put on a mask wherever you go. You will be saving your life as well as of others. "Asiyevaa barakoa ni MUUAJI".
 
Back
Top Bottom