Unapingana na wataalamu wa tiba wewe
Watalaamu wa wapi, je wewe hiyo barakoa imekukinga kitu gani kama sio chanzo cha uanzishaji wa matatizo mengine ya kiafya?
Unaimbishwa wimbo usioujua
Uumbaji wa mtoto tumboni mwa binadamu hausababishwi na sayansi ya binadamu wenzio
Mmeng'enyo wa chakula tumboni hauwezeshwi na sayansi ya binadamu ila mfumo asili wa kiumbe hai.
Anga la dunia limechafuliwa kutokana na shughuli za kibinadamu kwa ajili ya maendeleo au vita.
Binadamu wamekuwa watukutu wakitaka urekebisha uasili wa dunia na viumbe vyake kwa kujaribu kuunda viumbe vingine katika hali hiyo ulinzi asilia huingiliwa hatimaye kupoteza uwezo wa kuihakikishia dunia na viumbe vyake usalama wa maisha.
["....Anga hulinda maisha duniani kwa kupunguza mfiduo wa mionzi, kudumisha ongezeko la joto duniani kwa kutafakari mawimbi ya infrared, kupunguza tofauti kati ya baridi na joto, na kuwapa wanyama na mimea ya oksijeni na nitrojeni wanayohitaji....."]
Korona imetokea kutokana na utukutu wa watu wachache wakitafuta sfa kuwa wa kwanza kugundua jambo fulani lakini werevu wao uliwazidi kichwani na kusababisha athari kwa dunia nzima.
Kuna watafiti watukutu waliwahi kuanza kutoboa dunia ili watokezee upande wa pili kilichowakuta huko wanasayansi wengine wanabaki kusema
'There is superpower beyond human being intelligence'. Murmansk, Russia
Russia drilled down 40,230 feet into the earth, before heat forced work to stop. Despite reaching such a depth, Russia never got to the mantle experiencing intolerable deterrence from unknown flushing powers.
- As early as the civilization geared up in 1960s, curious scientists and other mischief men have attempted to drill down to the Earth's mantle.
- Russia holds the record for the deepest man-made hole in the world at more than 40,000 feet deep. That's 7.6 miles.
- No one has ever reached the Earth's mantle, although scientists have never given up trying to get to it. The further they go deeper down to the mantle past teh magma substance the narrower the hope becomes.
- Other scientists have curiously attempted to pierce the ozone layer to diagnose how the living creatures feel over a specified period, the results are worrying the experts on life survival.
There is no way teh corona virus have just emerged from nowhere without being facilitated to route the test on how inhibitive are effective to human lives.
Face mask, TB N95 mask, surgical masks, goggle glasses, protective gown, breathing apparatus, self-distancing, washing hands etc have nothing to deprive the microscopic virus