Ni muda sasa sijawahi kumbuka ndoto yoyote niliyoota

Ni muda sasa sijawahi kumbuka ndoto yoyote niliyoota

Sijaweza kusema naweza kutafsiri ndoto za watu wengine ila naweza kukusaidia ukaweza kujua maana ya ndoto yako. Njia rahisi ya kuweza kutambua maana ya ndoto ni kutizama vitu vitatu kwanza ni (a)kitendo unachofanya ndotoni (b)unaangalia ulikuwa na hisia gani wakati unaota hiyo ndoto na hata baada ya kuamka(c)na Symbol.

Symbol ya daraja kwenye ndoto inaweza kuashiria transition kutoka sehemu moja kwenda nyengine katika maisha au uwezo wa kushinda changamoto kwenye maisha.

Sasa kwa kuangalia kitendo hapo tunaona unajaribu kuvuka daraja kwenda upande mwengine ila inashindikana unaishia kati, sasa jaribu kuhusisha hicho kitendo (cha kushindwa kuvuka daraja kwenda upande wa pili kila unapojaribu unafeli) na maisha yako yako halisi, wapi kwenye maisha yako unahisi unashindwa kutoka sehemu moja kwenda sehemu nyengine?
Shukrani mkuu kwa kunipa mwanga najaribu sana kuielewa hii ndoto maana ndio ndoto naiota sana kuliko zingine na huwa nakumbuka kila kitu. ila naamini ipo siku nitaelewa vizuri
 
Habari za asubuhi wadau

Kama kichwa cha habari kinavyo sema. Nina uhakika kila siku naota ndoto nikiwa usingizini, lakini cha ajabu ni kwamba nikiamka tu asubuhi sikumbuki ndoto hata moja.

Ni muda mrefu sina kumbukumbu ya ndoto yoyote ile, naota ndoto zaidi ya tatu lakini asubuhi ifikapo nikijaribu kukumbuka nashindwa.

Hili ni tatizo au ni hali ya kawaida tu? Ni zaidi ya miaka mitatu sasa nimekuwa na hali hii. Nifanye nini?
Ni hatari kwako kwani adui anafanya kazi kubwasana kwenye maisha yako kwasababu unaweza kufutwa memory zote baada ya ubaya wakutendeao ,, ukiwa unaota inamaanisha mungu anasema nawewe kupitia ndoto anakueleza vitu ambavyo huvifahamu,, sali sana kabla la kulala halafu lala utaota tena niamini mimi
 
Ni hatari kwako kwani adui anafanya kazi kubwasana kwenye maisha yako kwasababu unaweza kufutwa memory zote baada ya ubaya wakutendeao ,, ukiwa unaota inamaanisha mungu anasema nawewe kupitia ndoto anakueleza vitu ambavyo huvifahamu,, sali sana kabla la kulala halafu lala utaota tena niamini mimi
Nitajitahidi kusali sana kabla ya kulala kwani nadhani hiyo ndiyo njia sahihi.

Lakini sasa mbona mimi sina maadui, sina watu ambao wanaweza nifanyia hayo mambo, sina tatzo na mtu yoyote yule.
 
Nitajitahidi kusali sana kabla ya kulala kwani nadhani hiyo ndiyo njia sahihi.

Lakini sasa mbona mimi sina maadui, sina watu ambao wanaweza nifanyia hayo mambo, sina tatzo na mtu yoyote yule.
Tatizo lipo kwenye kila kizazi duniani kuna mengi, hata kama siyo wewe kizazi chako lazima kuna kitu kama deni lazima lilipwe, halafu mchawi ndo kazi yake akikuona unawasiwasi yeye ndo furaja yake au ukiweweseka, kuna mambo mengi sana yanafanyika usiku kuliko hata mchana, sasa ikiwa huwezi kukumbuka ina maana kuna mtu wa karibu sana nawewe, wanasema jambo baya utafanyiwa na mtu anayekujua Na siyo mtu baki ikiwa hivyo basi kuna tatizo kati yenu, amini pia kila familia kuna mtu mmoja yule mungu amempa barakanyingi kuliko wenzake, kuna mmoja kati yao ana wivu na mwenzake hataki amzidi hiyo ni lazima, MUNGU ALIUMBA MBINGU NA NCHI PIA KILA KILICHO NDANI YAKE LAKINI KUNA WATU HAWAMWABUDU MUNGU😭 hawaamini hata kama MUNGU yupo hawaamini Kabisa
 
Na siyo mtu baki ikiwa hivyo basi kuna tatizo kati yenu, amini pia kila familia kuna mtu mmoja yule mungu amempa barakanyingi kuliko wenzake, kuna mmoja kati yao ana wivu na mwenzake hataki amzidi hiyo ni lazima, MUNGU ALIUMBA MBINGU NA NCHI PIA KILA KILICHO NDANI YAKE LAKINI KUNA WATU HAWAMWABUDU MUNGU😭 hawaamini hata kama MUNGU yupo hawaamini Kabisa
Hapo umesema ukweli kabisa, watu wa karibu ndiyo wenye matatizo kwani wao ndiyo wanao tujua vyema. Ila naamini kwa juhudi za sala na maombi wakati wa kulala, wakati wa kuamka. Hiyo ndiyo njia pekee ya kuweka ulinzi na kujiepusha na wale wote wenye nia mbaya wakati wa usiku.
 
Shukrani mkuu kwa kunipa mwanga najaribu sana kuielewa hii ndoto maana ndio ndoto naiota sana kuliko zingine na huwa nakumbuka kila kitu. ila naamini ipo siku nitaelewa vizuri
Yeah ndoto za kujirudia rudia hizo zinafanya hivyo ili kupata your attention na zinaitwa reccuring dreams na zipo aina mbili, kuna zenye kuhusu stress na zipo zenye kuhusu Change au transformation unazopita kwenye maisha yako ya hivi sasa.

Hivyo jaribu kukumbuka hiyo ndoto ulianza kuota kipindi gani na kulikuwa na mabadiliko vani kipindi hiko au labda kitu gani ukicanya au ukiwa katika hali gani ndio hutokea kuota hiyo ndoto.
 
Back
Top Bottom