Ni muda Sasa umefika kwa JWTZ kuachanana ununuzi wa silaha kutoka Urusi

Ni muda Sasa umefika kwa JWTZ kuachanana ununuzi wa silaha kutoka Urusi

Pearce

JF-Expert Member
Joined
Dec 15, 2018
Posts
667
Reaction score
1,582
Miaka 20 nyuma ni siraha ambazo zilitupa sifa na ubora katika mapambano kwa Teknolojia ilivyokuwa.

Kwa siraha hizo pia katika diplomasia na ujasiri na udhabiti pamoja na uzalendo Tanzania ilikua tishio na iliogopwa na kuheshimiwa na maadui zake wakati huo.

Hata Ghaddafi alipojaribu kuingia kupambana na Tanzania akitoa Ultimate request or suffer consequences..alikutana na moto mkali sana kutoka kwa jeshi letu na hapo akaamua kutengeneza meza ya diplomasia.

Lakini tunapotazama maafa wanayoyapata Urusi Leo hii kwenye ardhi ya watu wa Ukraine kwa kupokea vipigo vya kusisimua.

Kipigo kitakatifu na vifaru hivyo vikilipuliwa kulia na kushoto kiasi kwamba kukaa ndani ya vifaru imekua jambo la hatari sana kuliko kuwa infantry au askari wa miguu.

Maana mchana huu napata taarifa Jimbo la Khraviv warusi wameanza kuondoka huku miili ya vijana wadogo wa Urusi ikitapakaa Kila pande muda huo Rais wao bwana Putin akijiandaa kufanyiwa operesheni baada ya hali yake ya afya kuzidi kuwa mbaya ikichangiwa na upepo unavyobadilika.

Ni wakati tu umefika Jeshi la nchi yetu liachane kabisa na siraha hizo za Urusi hazitakua na namna yoyote ya kitusaidia kujilinda katika uvamizi wa adui wa nje.
 
Kwa jinsi ulivyoandika kishambenga unaonekana wewe si riziki kabisa wanaume hawaongei umbea kama huu yaani unaongea huku umeshika kiuno
Kwa hili povu linalokutoka hapa tungekua karibu ungesharusha Hadi ngumi.......sema huko Tandika Kaburi 1 unapotokea Kuna mafunzo ya kuvalishwa Kobazi uende zako ukajilipue
 
Kwanza ni machuma chakavu halafu ni very mechanical!

Wee ndege vita haina brake inapo tua hadi inye parachute [emoji56][emoji849][emoji12]
 
Umeenda vizuri kidogo ila ukumbuke kipindi hicho ni USSR ikiwemo Ukraine pia!
 
Kwanza ni machuma chakavu halafu ni very mechanical!
Wee ndege vita haina brake inapo tua hadi inye parachute [emoji56][emoji849][emoji12]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Doh
 
Mna vionaje kwanza vifaa vya komandoo wetu.
1886051317.jpg
 
Yaani wamarekani wenyewe wana copy silaha kutoka urusi.

Hatuwezi kununua silaha kutoka marekani zilizo shindwa kufua dafu hata kwa al shabab


Ukraine yenyewe imeona silaha za kimarekan ni upuuzi ndo maana huwa wanazitelekeza

Ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha
 
WaUkraeni wanamjua Urusi nje Ndani ilibidi Urusi kabla ya kuvamia UKRAINE ijitafakari kwanza.Ni sawa na Jimbo la California lijitenge na Marekani halafu Marekani iamue kulivamia Hilo Jimbo kichwa kichwa, Marekani inaweza aibika na ikapata kipigo Cha mbwa Koko kama Urusi inavyoaibika leo🤔
 
Mpaka wanachama wa NATO wananunua silaha kutoka Urusi sembuse nyinyi makapuku mlio shindwa hata kumaliza tatizo la vyoo mashuleni?
Watz tuna ujuaji wa kipumbavu.
Mwanachama Gani wa NATO ananunua? Wakati wengi ambao ni wanachama wa NATO hasa ulaya Mashariki Sasa walikua sehemu ya USSR walivirithi vifaa hivyo
 
Mwanachama Gani wa NATO ananunua? Wakati wengi ambao ni wanachama wa NATO hasa ulaya Mashariki Sasa walikua sehemu ya USSR walivirithi vifaa hivyo
Uturuki ni wanachama wa ukoo wenu sio?

Mataifa kama China,Iran,India, Pakistan ni kati ya mataifa yenye nguvu duniani na ni wanunuzi wakubwa wa silaha za Urusi alafu we mganga njaa kutoka koromije unaleta kejeli za kipuuzi hapa?

Kwa hiyo ww usiye jua hata bunduki inashikwaje una zijua silaha za Urusi kuliko wataalamu wa hizo nchi ambao wanaona zinafaa? Au unawazidi wataalamu na wakuu wa JWTZ ?

Sema nchi yako ni masikini haina hela za kununua silaha za kisasa badala yake huwa inaenda kununua masilaha ya miaka ya 1947 huko.

Kama silaha za Urusi si kitu jaribuni kuingia vitani hata na Uganda tuone kama mtaweza kuzizuia ndege zao za kirusi aina ya sokhu_25 kama hamjapoteana hapa.

Hizo silaha za Marekani unazo ziona ni bora sana mpaka unazidharahu silaha za Urusi mbona hazijawasaidia waasi kushinda vita nchini syria?

Hizo silaha za Marekani mbona hajaisaidia Saudia arabia na washirika wake kushinda vita nchini Yemen na kila siku visima vyake vina shambuliwa kwa makombora wakati vimezungukwa na mifumo ya ulinzi ya kiMarekani?

Hizo silaha za Marekani mbona hazikumsaidia yeye mwenyewe kuishinda vita dhidi nchi masikini kabisa kipindi hicho Vietnam badala yake akaishia kukimbia baada ya kupata kipigo cha aibu ?

Ubora wa silaha huwa una pimwa kutokana na kiwango cha uharibifu inacho sababisha pale inapo tua na sivinginevyo.

Watz tupunguze ujuaji usio kuwa na kichwa wala miguu, tabia ya kujifanya mjuaji kwa kitu ambacho hukijui ni moja wapo ya dalili za upumbavu.
 
Kwanza ni machuma chakavu halafu ni very mechanical!
Wee ndege vita haina brake inapo tua hadi inye parachute [emoji56][emoji849][emoji12]
Baba ulizia matumizi ya ile kitambaa Cha nyuma kwenye migs na SUs so kwaajili ya breki Bali kupunguza kani ya ukinzani na hivyo ndege Vita kutua salama bila shida.
Hi amekuelekeza Nani man
 
Back
Top Bottom