Ni muda Sasa umefika kwa JWTZ kuachanana ununuzi wa silaha kutoka Urusi

Ni muda Sasa umefika kwa JWTZ kuachanana ununuzi wa silaha kutoka Urusi

Tanzania ishawachana kitambo na machuma chakavu ya Russia. Saa hivi soko la silaha ni kutoka China. Russia haiko hata Top 3
 
Miaka 20 nyuma ni siraha ambazo zilitupa sifa na ubora katika mapambano kwa Teknolojia ilivyokuwa.

Kwa siraha hizo pia katika diplomasia na ujasiri na udhabiti pamoja na uzalendo Tanzania ilikua tishio na iliogopwa na kuheshimiwa na maadui zake wakati huo.

Hata Ghaddafi alipojaribu kuingia kupambana na Tanzania akitoa Ultimate request or suffer consequences..alikutana na moto mkali sana kutoka kwa jeshi letu na hapo akaamua kutengeneza meza ya diplomasia.

Lakini tunapotazama maafa wanayoyapata Urusi Leo hii kwenye ardhi ya watu wa Ukraine kwa kupokea vipigo vya kusisimua.

Kipigo kitakatifu na vifaru hivyo vikilipuliwa kulia na kushoto kiasi kwamba kukaa ndani ya vifaru imekua jambo la hatari sana kuliko kuwa infantry au askari wa miguu.

Maana mchana huu napata taarifa Jimbo la Khraviv warusi wameanza kuondoka huku miili ya vijana wadogo wa Urusi ikitapakaa Kila pande muda huo Rais wao bwana Putin akijiandaa kufanyiwa operesheni baada ya hali yake ya afya kuzidi kuwa mbaya ikichangiwa na upepo unavyobadilika.

Ni wakati tu umefika Jeshi la nchi yetu liachane kabisa na siraha hizo za Urusi hazitakua na namna yoyote ya kitusaidia kujilinda katika uvamizi wa adui wa nje.
Tanzania na umskini wetu hatuwezi kuachana na Silaha za Urusi,na Kama tukiachana na Silaha za Urusi Basi lazima tumgeukie Mchina make Ndio wana Silaha za Bei ya Nyanya. Silaha za Marekani Ni Bei Ghali Sana, ndio maana Mataifa mengi maskini yanakimbilia kununua kwa Urusi au China.Kwa mfano:

1.Air defence systems:
S-400(URUSI)- $ 350M
THAAD(USA)-$ 1.2B

Military Tanks

T-90(Russia)-$ 3.7M
Abrahams(USA)-$ 13M

Attack Hellicopter
K-52(Russia)-$ 1.2M
Appache(USA)-$35M.
 
Eti Tanzania ilipigana vita na Gadaf hivi wewe Tanzania kuteka wale madaktari na silaha kama sita alizo msaidia Iddi Amin ndio alipigana vita na Gadaf?

Tanzania hakuna hata silaha yake inauwezo wa kufika Nairobi akampige Gadaf ambaye alikuwa na Long range Missile zingefika mpaa South Africa na ana Kila Aina ya ndege za kivita kama SUkhui, Mig na Mirage pamoja na Submarine.

Nyerere ndio alianzaa kujipendekaza Kwa Gaddafi kumita ndugu yetu Gadaf angemiita adui Gadaf angendeleza uadui kwake na Tanzania asinge shinda vita kama Gaddafi angempa Uganda 20% ya silaha zake.
unaandika km vile raia wa tz , punguan kbs
 
Hakuna aliye kukataza kujibu ila jibu kwa hoja sio kutoa kejeri.

Mfano kwa hoja nilizo zileta ulitakiwa uje unikosoe kuwa hili sio kweli bali ukweli ni huu hapa hizo ndio hoja zinazo takiwa.

Sio uje na kejeri za sijui povu ,mara sijui mwaka huu nitaku kichaa niwe kichaa kwani hiyo vita ina umuhimu gani kwangu mpaka niwe kichaa? mara Putin hakujui kwani ww Baiden anakujua?

Kwa hoja zangu nilikuwa najaribu kumueleza mtoa mada ya kuwa ushidi vitani hauji kisa tu unatumia silaha za taifa fulani bali unakuja kimkakati.
Naomba nikukumbushe sehemu ya ulichokisema "...... watanzania mnakuwa na ujuaji wa kipumbavu....." hukuishia hapo ukarudia tena kwa comment iliyofuata.Uzuri hujaedit ukirudi utaikuta.

Vinginevyo hatuna sababu ya kutoleana maneno ya kukera kisa tu hukubaliani na mwingine.Afterall si Putin wala Zelensiky anaejua kuwa tupo hata kwa Dunia hii
 
Tanzania ishawachana kitambo na machuma chakavu ya Russia. Saa hivi soko la silaha ni kutoka China. Russia haiko hata Top 3
Ha ha yaani we Ni zero brain hujui Kama Chinese made weapons Ni version ya silaha za kirusi. Eg F7 Ni mig 21
 
Nimetoa maelezo ya kutosha kutetea hoja yangu sasa ww umekuja kutoa kejeri bila fact za pinga hoja zangu nilizo ziandika.

Na hii imekuwa ni tabia yako kurukia post za watu na kutoa kejeri badala ya kujibu hoja ndio maana umeshakosana na watu wengi.

Tabia za kurukia coment za watu na kuanza kutoa kejeri bila ya kujibu hoja ndio ujuaji wa kipuuzi tunao usema maana ungekuwa unajua ungekuja na fact za kupinga hoja zangu badala ya kejeri.

Nilie mjibu amenielewa na ndio maana mpaka sasa yuko kimia sasa sijui ww unawashwa washwa nn na coment yangu.

Ww kama unaudhika na post zangu uwe unapita kimia kimia maana kila coment yangu ni lazima uishobokee kwa maneno ya kejeri sema nimekuwa nikikuvumilia tu.
Wala usinihusishe sabab nlionyamaza ni usimjibu Mpumbavu sawa na Upumbavu wake....na kweli kumbe nlivyokaa kimya ukajiona una hekima kweli
 
Naomba nikukumbushe sehemu ya ulichokisema "...... watanzania mnakuwa na ujuaji wa kipumbavu....." hukuishia hapo ukarudia tena kwa comment iliyofuata.Uzuri hujaedit ukirudi utaikuta.

Vinginevyo hatuna sababu ya kutoleana maneno ya kukera kisa tu hukubaliani na mwingine.Afterall si Putin wala Zelensiky anaejua kuwa tupo hata kwa Dunia hii
Yaan unakuta mtu ana uchungu hatari....kisa Urusi kapigwa ndio amepigwa na lazima apigike sababu kaingia nchi ya watu ili aifanye kuwa Jimbo lake
 
Eti Tanzania ilipigana vita na Gadaf hivi wewe Tanzania kuteka wale madaktari na silaha kama sita alizo msaidia Iddi Amin ndio alipigana vita na Gadaf?

Tanzania hakuna hata silaha yake inauwezo wa kufika Nairobi akampige Gadaf ambaye alikuwa na Long range Missile zingefika mpaa South Africa na ana Kila Aina ya ndege za kivita kama SUkhui, Mig na Mirage pamoja na Submarine.

Nyerere ndio alianzaa kujipendekaza Kwa Gaddafi kumita ndugu yetu Gadaf angemiita adui Gadaf angendeleza uadui kwake na Tanzania asinge shinda vita kama Gaddafi angempa Uganda 20% ya silaha zake.
Ebu kasome basi kidogo.... Gadaffi alitoa masaa kwa Tanzania kuondoa jeshi lake Uganda na akatuma maaskari wake....ebu kapitie basi hata ili Kanda ya vita ya Uganda YouTube

Gadaffi ka destabilize nchi nying za Africa akitoa sapoti ya waasi ili awe very powerful figure ktk siasa za Bara la Africa
 
Nimetoa maelezo ya kutosha kutetea hoja yangu sasa ww umekuja kutoa kejeri bila fact za pinga hoja zangu nilizo ziandika.

Na hii imekuwa ni tabia yako kurukia post za watu na kutoa kejeri badala ya kujibu hoja ndio maana umeshakosana na watu wengi.

Tabia za kurukia coment za watu na kuanza kutoa kejeri bila ya kujibu hoja ndio ujuaji wa kipuuzi tunao usema maana ungekuwa unajua ungekuja na fact za kupinga hoja zangu badala ya kejeri.

Nilie mjibu amenielewa na ndio maana mpaka sasa yuko kimia sasa sijui ww unawashwa washwa nn na coment yangu.

Ww kama unaudhika na post zangu uwe unapita kimia kimia maana kila coment yangu ni lazima uishobokee kwa maneno ya kejeri sema nimekuwa nikikuvumilia tu.
Mtu povu linakutokaa mpaka Matusi kibao kisa mtu katofautiana na wewe kimtazamo
 
Back
Top Bottom