Ni muda sasa wa kuachana na Robertinho, na ni muda wa kuleta kocha wa pira tulilolizoea!

Ni muda sasa wa kuachana na Robertinho, na ni muda wa kuleta kocha wa pira tulilolizoea!

Hapo alipofikia inatosha, tumeishi maisha ya tabu sana hizi siku za huyu kocha, ni muda sasa Simba irudi kwenye biriani na sambusa, papatu papatu sasa imetosha, wachezaji wetu wanavyo cheza hawana spidi, unaweza kusema ndo wameanza ligi, wazito kweli hata kufanya maamuzi, sasa imetosha, Ahsante Robertinho!
Wazee wa direct football.
 
Objective! Objective! Tumechoshwa na Objectives za kutuweka Roho Juu Kila tuchezapo, tunataka Mpira biriyani huo ndio Mpira wa Simba!
 
Hatuwezi kumuondoa kocha kizembe namna hiyo
Hivi watu hawajamuelewa Robertinho anaposema Objective football/ win...
Lengo la Simba ni kufika nusu fainali..ili ufike fainali ni lazima upitie makundi then robo .hivyo amefanikiwa kwa hatua ya awali haijalishi kafanyaje
 
Sawa tutapata matokeo, ila kama sisi mashabiki itatuchukua muda sana kukubaliana na hii hali.
 
1. Muwe mnajifunza mpira na kuomba mawazo ya WATU tunaojua mpira kama mimi.

2. KOSA la Robertinho ni Nini HASA maana mmekuwa kama WAPUMBAFU WA FB KUROPOKA ROPOKA tu.

Tatizo kubwa kabisa Simba ni uongozi wanasajili wachezaji WABOVU.
 
Simba ya mpira Biriani ilikuwa na Wachezaji WAFUATAO.

1. Chama.
2. MIQUISSONE.
3. Bwalya.
4. Lwanga
5. Mkude

Leo simba Ina wachezaji wa kupoteza Mipira Kila Dakika kama

1. KIBU.
2. Kanute.
3. Mzamiru.
4.saido.
5. Onana nk

JIFUNZENI MPIRA MSIMLAUMU KOCHA LAUMUNI UONGOZI WENU WA KIPUMBAVU.
 
Simba ya mpira Biriani ilikuwa na Wachezaji WAFUATAO.

1. Chama.
2. MIQUISSONE.
3. Bwalya.
4. Lwanga
5. Mkude

Leo simba Ina wachezaji wa kupoteza Mipira Kila Dakika kama

1. KIBU.
2. Kanute.
3. Mzamiru.
4.saido.
5. Onana nk

JIFUNZENI MPIRA MSIMLAUMU KOCHA LAUMUNI UONGOZI WENU WA KIPUMBAVU.
Tawile timu lina kazi ya kurudisha magoli tu tangu kule Zambia halafu linakuja senge hapa linatetea eti simba ni kubwa.

Sent from my TECNO BA2 using JamiiForums mobile app
 
Ushauri wa bure [emoji848].Mkamchikue Nasrideen Nani,atawatoa mlipokwamia hivi sasa[emoji3][emoji3]
Usimuamshe alielala.
Makolo kwa akili zao wanaweza kwenda kumchukua kweli hao.
Usicheze na tajiri anaekaribia kujikatia tamaa anaweza kufanya chochote.
 
Back
Top Bottom