King Mswat 11
JF-Expert Member
- May 24, 2023
- 207
- 319
Nawewe muda mwingine tumia akili yako ile ya darasa la sita kutofautisha kiza na mwanga1. Mtu mwenye akili timamu aniambie KOSA la Robertinho ni Nini????
2. Unamuhukumu Robertinho kwa Makosa Gani????????
3. Unawachezaji wanaopoteza mpira Kila saa kama
KIBU, Mzamiru, Saido, na Kanute
(Hakuna mchezaji aliyeletwa na Robertinho)
4. Simba ya Biriani ilikuwa na Wachezaji kama.....
Thadeo, Mkude, Bwalya, chama, MIQUISSONE, nyoni na Wawa.
MWENYE AKILI TIMAMU ANIAMBIE ROBERTINHO ANAHUKUMIWA KWA KIPI?????
Hivi ile biriani ya simba unayoisemea ilikuwa inajipika? Sio kulikuwa na mpishi fundi Da losa.
Huyo chiba wako hana mbinu Simba itafute kocha.