Ni muda wa Simba SC kumchukua kocha Florent Ibenge

Ni muda wa Simba SC kumchukua kocha Florent Ibenge

kalisheshe

JF-Expert Member
Joined
Mar 19, 2020
Posts
2,064
Reaction score
4,056
Kama ni kweli kocha Benchika anaondoka mwisho wa msimu, hakuna haja tena ya simba kutafuta kocha kutoka mbali au kocha mwenye rangi nyeupe.

Ibenge ni mmoja kati ya makocha wenye CV kubwa barani Africa, kinachomuongezea faida ni ubora wake katika kuwajua wachezaji na kulijua vyema soka la africa kwa hiyo kama simba sc mmepokea barua ya benchika kutaka kuondoka kubarini na kwa haraka
anzeni mazungumzo na Ibenge na kama mtafanikiwa muombeni aje na baadhi ya wachezaji wazuri.

Mkiukataa ushauri huu na kuwaleta kina cirkovic itakula kwenu tena.
 
Kama ni kweli kocha Benchika anaondoka mwisho wa msimu, hakuna haja tena ya simba kutafuta kocha kutoka mbali au kocha mwenye rangi nyeupe.

Ibenge ni mmoja kati ya makocha wenye CV kubwa barani Africa, kinachomuongezea faida ni ubora wake katika kuwajua wachezaji na kulijua vyema soka la africa kwa hiyo kama simba sc mmepokea barua ya benchika kutaka kuondoka kubarini na kwa haraka
anzeni mazungumzo na Ibenge na kama mtafanikiwa muombeni aje na baadhi ya wachezaji wazuri.

Mkiukataa ushauri huu na kuwaleta kina cirkovic itakula kwenu tena.
Namuonea huruma ibembe siku akifurushwa
 
Kabla ya kuhangaika kubadilisha makocha kila msimu, tafuteni kwanza chanzo hasa cha tatizo lenu! Baada tu ya kuligundua hilo tatizo lenu, mrudi mara moja kunishukuru.
 
Hata akija Pep Guardiola,kumtegemea Kibu Denis hakuwezi kukufikisha mbali,lete vyuma

Ibenge hawapendi Simba,maana walifichua udhaifu eake kila akipokutananao uwanjani,kwa ufupi hamna kocha pale,CV yake haitishi in terms ofmafanimio kwaclub alizofundisha so far
 
Kama ni kweli kocha Benchika anaondoka mwisho wa msimu, hakuna haja tena ya simba kutafuta kocha kutoka mbali au kocha mwenye rangi nyeupe.

Ibenge ni mmoja kati ya makocha wenye CV kubwa barani Africa, kinachomuongezea faida ni ubora wake katika kuwajua wachezaji na kulijua vyema soka la africa kwa hiyo kama simba sc mmepokea barua ya benchika kutaka kuondoka kubarini na kwa haraka
anzeni mazungumzo na Ibenge na kama mtafanikiwa muombeni aje na baadhi ya wachezaji wazuri.

Mkiukataa ushauri huu na kuwaleta kina cirkovic itakula kwenu tena.
Hamna kocha hapo hana mafanikio yoyote kwenye soka la Africa.
 
Kama ni kweli kocha Benchika anaondoka mwisho wa msimu, hakuna haja tena ya simba kutafuta kocha kutoka mbali au kocha mwenye rangi nyeupe.

Ibenge ni mmoja kati ya makocha wenye CV kubwa barani Africa, kinachomuongezea faida ni ubora wake katika kuwajua wachezaji na kulijua vyema soka la africa kwa hiyo kama simba sc mmepokea barua ya benchika kutaka kuondoka kubarini na kwa haraka
anzeni mazungumzo na Ibenge na kama mtafanikiwa muombeni aje na baadhi ya wachezaji wazuri.

Mkiukataa ushauri huu na kuwaleta kina cirkovic itakula kwenu tena.
AS Vita hakuwahi kuvuka kwenda hatua ya robo fainali CAFCL.

Al Hilal Ormduman pamoja na bajeti kubwa hawajawahi kuvuka kwenda robo fainali msimu wake wa pili huu.

Akiifundisha DRC alikuwa akiishia hatua ya makundi kwenye AFCON licha ya kuwa na vipaji lukuki, wamekuja makocha wengine wamefika kwenye knockouts za qualification ya World Cup. Wamefika Semi final AFCON ndani ya miaka miwili tu wakati yeye kaifundisha DRC kwa miaka mitano.
 
afu kikosi kibaki kuwa hiki hiki? au na chenyewe kipanguliwe? vp kuhusu management? ibaki kuwa hii hii au nayo ipanguliwe?
 
Rs Berkane wamechukua ubingwa wakiwa na kocha gani?
As Vita wamefika final wakiwa na kocha gani?
Najua amechukua ubingwa wa CAFCC akiwa na RS Berkane na fainali yenyewe alifika baada ya Mazembe kuonewa sana na Referee hapo Morocco.

Akiwa AS Vita alifika fainali ya CAFCC akafungwa na Raja Casablanca.

Hiyo CV ina tofauti gani na ya Benchika ?

Akiwa As Vita alifika fainali kwa kubebwa na kizazi bora sana cha kina Bongonda, Ngoma, Tuisila Kisinda, Jean Mark Makusu, Bangala, Luzolo, Juma Shaban, Moloko na Cesar Manzoki lakini CAFCL akashindwa kupenya robo fainali kwenye kundi ambalo lilikuwa na debutants wawili kwenye michuano.

The guy is somehow overrated.
 
Back
Top Bottom